Serikali, wadau wajadili uchumi
TAASISI ya African Community of Practice (AfCoP), imekutanisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na asasi za kijamii katika semina ya siku nne kwa ajili ya kujadili ripoti ya Tanzania ya tathmani ya kiuchumi na namna ya kufanikisha uchumi kupanda na kuwafikia wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Marais wastaafu wajadili uchumi wa Afrika
MARAIS wastaafu sita kutoka barani Afrika walikutana mwishoni mwa wiki katika mdahalo wa kujadili mwelekeo wa uchumi wa nchi za bara hilo na watu wake. Mdahalo huo wa siku moja...
9 years ago
StarTV18 Sep
Norway na Tanzania wajadili uwekezaji wa pamoja kukuza uchumi
Katika hali ya kuhakikisha uchumi wa nchi unakuwa Serikali za Norway na Tanzania zimekutana kujadili fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya gesi na mafuta ili kuwezesha nchi hizo kujiimarisha kiuchumi pamoja na kuimarisha uhusiano miongoni mwa mataifa hayo.
Ujumbe kutoka Norway ukiongozwa na Waziri wa Viwanda na Biashara Monica Maeland umesema uhusiano uliopo baina ya nchi hizo mbili ni njia pekee ya kufungua mtandao mpana wa biashara katika kujiimarisha kiuchumi.
Katika mkutano...
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Wadau wa mawasiliano wajadili uzimaji analojia
WATAALAMU, wadau wa mawasiliano na maofisa kutoka nchi 25 wanachama wa Jumuia ya Madola wanakutana jijini hapa kwa siku nne kuanzia jana kujadili harakati za uzimaji wa mitambo ya analojia...
10 years ago
VijimamboWadau wajadili sera ya Taifa ya Mtangamano ya Afrika Mashariki
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Wadau wajadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania
Muwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Mgaya Ezekiel akichangia wakati wa Semina ya kujadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania wa mwaka 2015, utakaowasilishwa Bungeni Ijumaa ya tarehe 27/03/2015. Semina hii iliyofanyika tarehe 23-24/03/2015 katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma imewakutanisha Wadau, Kamati ya Maendeleo ya Jamii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara(kulia) akifurahia...
9 years ago
Vijimambo20 Aug
OFISI YA WAZIRI MKUU NA WADAU WA MABADILIKO TABIA NCHI WAJADILI UBORESHAJI WA MIFUMO YA UTOAJI TAHADHARI ZA AWALI
![of1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/of1.jpg)
![of2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/of2.jpg)
9 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU NA WADAU WA MABADILIKO TABIA NCHI WAJADILI UBORESHAJI WA MIFUMO YA UTOAJI TAHADHARI ZA AWALI
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...
9 years ago
StarTV06 Oct
Wadau wa amani Tanga wajadili udumishaji amani
Wadau wa amani jijini Tanga wamekutana kujadili namna ambayo watadumisha amani kwenye kipindi cha kampeni na uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na nafasi ya urais unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Wadau hao ni viongozi wa dini na wa kisiasa, makundi ya kijamii na waandishi wa habari ambao wote kwa pamoja wametakiwa kutumia nafasi zao kuhakikisha amani inaendelea kuwepo wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.
Nafasi ya viongozi wa dini, siasa, makundi ya kijamii na waandishi wa...