Wadau wa mawasiliano wajadili uzimaji analojia
WATAALAMU, wadau wa mawasiliano na maofisa kutoka nchi 25 wanachama wa Jumuia ya Madola wanakutana jijini hapa kwa siku nne kuanzia jana kujadili harakati za uzimaji wa mitambo ya analojia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QRoZjGRmwLM/UwyI7rCJAuI/AAAAAAAFPc0/TiVGMypWkfQ/s72-c/New+Picture+%25281%2529.png)
TAARIFA KWA UMMA: RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-QRoZjGRmwLM/UwyI7rCJAuI/AAAAAAAFPc0/TiVGMypWkfQ/s1600/New+Picture+%25281%2529.png)
TAARIFA KWA UMMA RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
Ndugu wananchi, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza rasmi mwezi Machi mwaka huu. Awamu hii ya Uzimaji inaanza baada ya Serikali kujiridhisha na matokeo ya tathmini ya uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia awamu ya kwanza kwenye...
10 years ago
Habarileo18 Nov
Serikali, wadau wajadili uchumi
TAASISI ya African Community of Practice (AfCoP), imekutanisha viongozi wa Serikali, wadau wa maendeleo na asasi za kijamii katika semina ya siku nne kwa ajili ya kujadili ripoti ya Tanzania ya tathmani ya kiuchumi na namna ya kufanikisha uchumi kupanda na kuwafikia wananchi.
10 years ago
Dewji Blog25 Mar
Wadau wajadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania
Muwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Mgaya Ezekiel akichangia wakati wa Semina ya kujadili Muswada wa Sheria ya Baraza la Vijana Tanzania wa mwaka 2015, utakaowasilishwa Bungeni Ijumaa ya tarehe 27/03/2015. Semina hii iliyofanyika tarehe 23-24/03/2015 katika ukumbi wa Pius Msekwa, Mjini Dodoma imewakutanisha Wadau, Kamati ya Maendeleo ya Jamii na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara(kulia) akifurahia...
10 years ago
VijimamboWadau wajadili sera ya Taifa ya Mtangamano ya Afrika Mashariki
9 years ago
MichuziOFISI YA WAZIRI MKUU NA WADAU WA MABADILIKO TABIA NCHI WAJADILI UBORESHAJI WA MIFUMO YA UTOAJI TAHADHARI ZA AWALI
9 years ago
Vijimambo20 Aug
OFISI YA WAZIRI MKUU NA WADAU WA MABADILIKO TABIA NCHI WAJADILI UBORESHAJI WA MIFUMO YA UTOAJI TAHADHARI ZA AWALI
![of1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/of1.jpg)
![of2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/of2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...
11 years ago
Michuzi18 Jun
WADAU WA SEKTA YA MAWASILIANO WAKUTANA ARUSHA
![IMG-20140618-WA0010](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/aDCDfdwJ8YXoXfIzFZsQ5T33LORI5uY2mj-IcvSVq0-QohkwMQrbnM-9aqaF-ULoc4tZo7j3YdxaUog9cdpnNPBNN6fUDWKuj_Dp7SH2FSmFiaUgDo2qo43_78jQRIaZtMI0CpIn3ViQeQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0010.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/j5HosH99XxJjQsRFt7CNEujv-tpM79t15EL5v45a3zPJvGuNq5g6auDB7YU7inxfGjdlvO9QPr0ifGGmL5vt2jW3_NNIMkOEs0YvbhJ6VCrGHI-lz7BeH0CdfTaAYb9Eik4DU4_IPgouGQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0004.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0001](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/f1rdb-x_Mm19x2jQNagEkB5L8GmhAXyFDCxykgVBVGUe9tOSeJvaJldHIDpwWk37dSO6suiI7kvJ2LoaRwgevnl1OGgWJ51-xiB4f5dSj87VqmzVmi_EzkuE_bCxg5o2Az4s_niy3URXAA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0001.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0005](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/MIA3otrOVcxTAOm0Ah7wInonhFG6TfFx_vKY8KXq9ZnfjRtDyxvUHcy183rLM5qrBmCuGQylvtdba8O6S1F0JyNiwh36f7Z9vMptgUcvjNFQCROxmcFpMBkp8oEAwewZL-8euU6YDhRHwQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0005.jpg?w=1254&h=940)
![IMG-20140618-WA0012](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/qG_3249NkPPkrTk-6tVASvzf5Lx5FvMzKjOcvl5AvHJJdFUZjut-ijo-WTBG31Gj1H7t5fXQISHcgu9WJRLhXbdzjbcyBTh0zaQmOzNQZMo-V0qSF_7KdhAEPGFXsDwMwecOoaG-2oc4FA=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0012.jpg?w=1254&h=940)
Wadau zaidi ya mia moja kutoka taasisi za mamlaka ya mawasiliano Afrika Mashariki (EACO} wamekutana jijini Arusha ili kuangalia namna ya...