CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA.
![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5G-a*oRq3Ty5JO1gmmsHjE7krMIIOM00jG47uR3-5I*1iDSfv55tY1-FoGuddNbYtLWwyHIFMdBxJjJKSSHpJk/Pichana1.jpg?width=650)
Mbunge wa Ilala Mh. Mussa Zungu ambaye alikuwa mgeni rasmi wakati wa Uzinduzi wa Maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) akikata utepe kuashiria uzindunzi wa maadhimisho ya chuo hicho kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake katika hafla iliyofanyika jijini Dar es salaam. Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Z26jJteDEPA/U9tOGpyjiAI/AAAAAAAF8Kk/CX3weyazB0A/s72-c/unnamed+(11).jpg)
CHUO CHA CBE CHAZINDUA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 JIJINI DAR, WADAU MBALIMBALI WAPONGEZA UBORA WA ELIMU INAYOTOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z26jJteDEPA/U9tOGpyjiAI/AAAAAAAF8Kk/CX3weyazB0A/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fdEqG4j-i0o/U9tOIEupGGI/AAAAAAAF8Ks/3FLdwSay8hk/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
GPLCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA (TAWLA) CHAZINDUA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 TANGU KIANZISHWE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiJ4hZqJEZYb-h6kTOD5zsMVJPxa-z6s9UoyYL6Gfd1yl23HudJ5c9u-r4BCAbJh83ifbw-0ZVUS84ksjGTxYplv/Pichana1.jpg?width=650)
CHUO CHA CBE KUTOA SHAHADA YA ELIMU KATIKA MASUALA YA BIASHARA.
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Usimamizi wa maadili Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) Dar waongeza ufaulu
Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) Prof. Emanuel Mjema akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari kuhusu maadhimisho miaka 50 ya chuo hicho yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Hatua iliyochukuliwa na uongozi wa Chuo cha Elimu ya Biashara Dar es salaam (CBE) kuendelea kuweka msisitizo katika usimamizi wa maadili kwa wanafunzi imeanza kuzaa matunda kufuatia kuogezeka kwa ufaulu wa masomo kwa wanafunzi wanaosoma chuoni hapo.
Hayo yamebainishwa leo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWA2yrLrAZvmBWYh6DIcxjsy1FsVGvGE62qCw3hTTzOmrN-HklTad5wEaDtpR7uLh2oDm1Izziuw7XGEYCILI-e/CBE1.jpg?width=650)
USIMAMIZI WA MAADILI CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE) DAR ES SALAAM WAONGEZA UFAULU.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EcKodtFMZt0/VR0s8h36m-I/AAAAAAAAGw0/wY957-ymuIg/s72-c/P4029026.jpg)
WADAU WA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA MATIBABU MKOANI RUKWA WAPEWA ELIMU YA UTARATIBU WA MIKOPO MBALIMBALI INAYOTOLEWA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EcKodtFMZt0/VR0s8h36m-I/AAAAAAAAGw0/wY957-ymuIg/s1600/P4029026.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Dkt. Kigoda azindua bodi ya uongozi ya chuo cha CBE leo Jijini Dar
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Abdallah Kigoda akisalimiana na viongozi na wafanyakazi wa Chuo cha Elimu ya Biashara kampasi ya Dar es salaam alipowasili chuoni hapo kuzindua Bodi mpya ya uongozi ya Chuo hicho leo.
Na Aron Msigwa –MAELEZO
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Abdallah Kigoda amezindua rasmi Bodi ya Uongozi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na kuitaka bodi hiyo kufanya kazi zake kwa kuzingatia sheria na kushirikiana na menejimenti ya chuo hicho kuweka mikakati na...
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WANAWAKE WANASHERIA TANZANIA (TAWLA) CHAZINDUA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 25 TANGU KIANZISHWE
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA WAHITIMU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)