Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sherehe za miaka 15 ya Clouds FM zafanyika leo Mjengoni

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Wadau mbalimbali wakiwa Mjengoni wazungumzia miaka 15 ya Clouds FM

Malkia wa Mipasho Tanzania,Hadija Kopa akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM.Mama Siza wa Segere akiwa kwenye kipindi cha Leo Tena naye ni mmoja wa wasanii wa zamani waliotolewa na Clouds FM akizungumzia miaka 15 ya redio ya watu.Waanzilishi wa bendi ya Diamond Music,Alan Mulumba na King Dodoo wakiwa mjendoni clouds fm wakizungumzia sherehe za miaka 15 ya Clouds.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sherehe za miaka 100 zafanyika Gallipoli

Sherehe zimefanyika eneo la Gallipoli nchini Uturuki kuadhimisha miaka mia moja tangu uvamizi wa kijeshi uliofanywa eno hilo

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO ZAFANYIKA PARIS UFARANSA

Watanzania waishio nchini Ufaransa walikutana Jumamosi mchana tarehe 26 Aprili nyumbani kwa Balozi wa Tanzania mjini Paris ili kusherehekea miaka 50 ya muungano kati ya Zanzibar na Tanganyika. Balozi wa Tanzania Nchini Ufaranza,Mh. Begum Karim Taj akipokea keki maalum kwa ajili ya sherehe hizo za Muungano wa Tanzania katika hafla iliyofanyika nyumbani kwa Balozi,Mjini Paris Ufaransa. Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa akiwa na watoto mjini Paris. Mh. Balozi Begum Taj akiwa na baadhi...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO ZAFANYIKA MJINI BEIJING, CHINA

Balozi wa Tanzania nchini China, Mh Abdulrahman Shimbo akitoa mawaidha kwa waalikwa katika sherehe za miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) zilziofanyika Ubalozini mjini hapa. Mh Balozi Shimbo alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo iliyoandaliwa na Jumuiya ya Wanafunzi Watanzania Beijing (TZ-SUB).(Picha na Salum Ramadhan)Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi Beijing (TZ-SUB), Ireneus Kagashe (kulia) akitoa utangulizi katika sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA SIKU YA SHERIA DUNIANI ZAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

    Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akiwaongoza Wahe. Majaji wa Mahakama ya Tanzania katika Maandamano ya kuadhimisha Siku ya Sheria nchini leo asubuhi katika viwanja vipya vya Mahakama vilivyopo Mtaa wa Chimala karibu na Southern Sun Hotel.

   Baadhi ya Watumishi wa Mahakama ya Tanzania wakiwa katika Sherehe za Siku ya Sheria nchini.

      Jaji Mkuu Mstaafu, Mhe. Augustine Ramadhan  akiwa pamoja na Viongozi wengine wastaafu wa Mahakama katika sherehe hizo...

 

10 years ago

Bongo5

Clouds Media waja na ‘Mjengoni Newsletter’

Kampuni ya Clouds Media Group imeamua kuwa karibu zaidi na wasikilizaji wake kwa kuanzisha newsletter ya kila mwezi itakayokuwa ikiangaza mambo yanayoendelea mjengoni hapo. Maelezo yaliyotolewa na kampuni hiyo yanasema: Clouds Media Group wanakuletea Mjengoni newsletter, kila mwezi pata kujua undani wa kile kinachotokea ndani ya Clouds, kuanzia vipindi vyetu, watangazaji, uandaaji wa vipindi mbalimbali. […]

 

10 years ago

Vijimambo

Sherehe za Ubatizo wa Dickson Jr zafanyika Houston

Kijana Jr. akiwa na Godmother wake Anna Jr. akiwa na wazazi wakeMaakuliDickson Jr. mwenyeweJr akiwa na Mama yake Gloriakwa picha zaidi bofya soma zaidiJr akiwa na Mama na Sister BerthaBeautiful PeopleUncle DrewMama Jr. na NduguzeWageni wakipata maakuliPastor akiwa na familia ya JrAunty Husna akimsaidia Jr kukata cakeMama na MwanaPicha zaote kwa hisani ya Mlongo Kihoma Blog

 

11 years ago

GPL

CLOUDS FM LEO IMEFIKA KILELE CHA MWEZI WA MAADHIMISHO YA MIAKA 14

Baadhi ya wafanyakazi mbalimbali wa kituo cha Clouds FM wakielekea ndani ya hospitali kwaajili ya kutoa misaada. Wafanyakazi  wakielekea wodini.…

 

10 years ago

CloudsFM

MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani