Picha:B Dozen akizungumzia shoo ya After Skul Bash leo kwenye Power Breakfast
![](http://api.ning.com/files/VNXpMB91slfRbujcjjXH9yER-NBFxHqyAZjvrgl9Q*z4jszylzEZdK2vLUZdTYoU9OQxac2lc253opvfat-bGkWhcfbdOXXQ/dozen.jpg)
![](http://api.ning.com/files/VNXpMB91sleXB5onzBhjsmEwsEITuT0prekRGXQYGFZ4DBx5N7kj0avYl2QpCQYQ4NJ1Z0M4ooMTEvUIrjKcf2G23mP7FQ07/dozen2.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM12 Dec
Ommy Dimpoz akizungumzia shoo ya After Skul Bash itakayofanyika kesho Jumamosi,Escape One,Mikocheni
Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz akizungumzia shoo ya After Skul Bash kwenye kipindi cha Xxl cha Clouds fm,akiwa na Dj Fetty na B Dozen,shoo hiyo itafanyika kesho pande za Escape One,Mikocheni,jijini Dar.
10 years ago
CloudsFM12 Dec
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA:MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Watangazaji wa zamani wa Clouds FM,Masoud Kipanya na Fina Mango wakizungumzia miaka 15 ya redio ya watu kwenye kipindi cha Power Breakfast wakiwa na mtangazaji wa kipindi hicho,Gerald Hando....PICHA ZAIDI ZINAWAJIA SOON...
10 years ago
CloudsFM02 Dec
PICHA ZAIDI :MASOUD KIPANYA NA FINA MANGO WAKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST WAKIZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Masoud Kipanya,Fina Mango wakiwa na Husna Abdul 'Dahuu'.
Waziri Njenje aka Babu Njenje naye alikuwepo mjengoni kwenye sherehe za miaka 15 ya Clouds fm.
10 years ago
CloudsFM22 Jan
10 years ago
CloudsFM20 Jan
Mh. January Makamba azungumzia kitabu chake kilichoandikwa na Padri Privatus Karugendo kwenye Power Breakfast.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, ambaye pia ni mbunge wa Bumbuli,Mh January Makamba leo kwenye kipindi cha Power Breakfast amezungumzia kitabu cha maisha yake naya kisiasa pamoja na malengo yake ya kimaendeleo kwa Tanzania kama atapata ridhaa ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi wa mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu. #Tanzaniaijayo
Mh.Makamba amezungumzia vipengele vingi kwenye kitabu chake hicho kama kupambana na madawa ya kulevya,elimu,ajira kwa vijana,Afya,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VBhfd_X1x4M/U-52-cSjrSI/AAAAAAAF_8M/_u8dwaDAU2E/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
sikiliza mapinduzi ya smartwatch (Saa za kidigitali) katika Power Breakfast on Saturday ndani ya Clouds fm leo asubuhi
![](http://3.bp.blogspot.com/-VBhfd_X1x4M/U-52-cSjrSI/AAAAAAAF_8M/_u8dwaDAU2E/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
10 years ago
CloudsFM02 Dec
MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM
Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka
9 years ago
Bongo Movies19 Dec
Picha: Shoo ya Diamond Kwenye Born2Win Concert Nchini Uganda
Usiku wa jana msanii Diamond Platinum alitumbuiza kwenye tamsasha kubwa ‘Born 2 Win Concert’ jijIni Kampala, Uganda.
Mbali na Diamond msanii Patoranking naye alitumbuiza kwenye tamasha hilo.
Hizi ni baadhi ya picha za Diamond akitumbuiza kwenye tamasha hilo.