Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ommy Dimpoz akizungumzia shoo ya After Skul Bash itakayofanyika kesho Jumamosi,Escape One,Mikocheni

Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz akizungumzia shoo ya After Skul Bash kwenye kipindi cha Xxl cha Clouds fm,akiwa na Dj Fetty na B Dozen,shoo hiyo itafanyika kesho pande za Escape One,Mikocheni,jijini Dar.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEEEEEEWWZZZZ OMMY DIMPOZ BIRTHDAY BASH YA CCM NEW YORK FEB 21

             JE NI MSANII GANI ATAKAYE WARUSHA ROHO KWENYE BIRTHDAY BASH YA CCM NEW YORK FEB 21?????..                     
""AIN'T NO PARTY LIKE A NEW YORK PARTY""                                                   Tuungane Tuiline Tanzania Yetu


                          
                                         UKUMBI WA RICHI RICH PALACE KWA NJE                          
                                     UKUMBI UNAVYOONEKANA KWA NDANI
                          
                               ...

 

9 years ago

Bongo5

Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk

KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya miaka kumi ya THT Jumamosi hii Escape 1, Mikocheni

·        Ben Paul, Grace Matata waongezeka kwenye burudani, Mrisho Mpoto na Weusi kusindikiza
·        Viingilio shilingi elfu 15 kwenye vituo na elfu 20 mlangoni
Tamasha la miaka kumi ya THT litakalofanyika jumamosi hii katika viwanja vya Escape 1 Mikocheni, limekamilisha maandalizi yake na hivyo kuwataka wadau na wapenzi wake wajitokeze kwa wingi kushuhudia burudani kubwa ya mziki hapa nchini.
THT, ambayo inasifika kwa kuzalisha wasanii mahiri nchini kama Linah, Barnaba, Mwasiti, Ditto,...

 

10 years ago

GPL

BELLA, ALLY KIBA, OMMY DIMPOZ WAFUNIKA ESCAPE ONE

Bella akikamua.  Alicious akiimba kibao chake maarufu cha ‘Ya Bolingo’. Ally Kiba akifanya vitu vyake. Ommy Dimpoz akiwajibika.…

 

10 years ago

CloudsFM

OMMY DIMPOZ AZITOSA SHOO ZA MAREKANI NA KURUDI BONGO KWA AJILI FIESTA

STAA wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz Kwa Poz hivi karibuni aliondoka Bongo na kuelekea nchini Marekani kupiga shoo mbili, baada ya kumaliza mchongo huo kwa mafanikio makubwa akapata mashavu mengine kadhaa ya kuendelea kupiga shoo pande zile lakini ameamua kuzitosa na kurudi Bongo kwa ajili ya tamasha la #Serengetifiesta 2014 ambayo itafanyika Ijumaa hii ndani ya uwanja wa Kaitaba.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tamasha kubwa la burudani la INSTAGRAM PARTY kufanyika Jumamosi viwanja vya Escape One Mikocheni jijini Dar


Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba.

Mkurugenzi wa Freconic ideaz, Fred Ngimba (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu tamasha kubwa la burudani la Instagram Party litakalofanyika Jumamosi katika viwanja vya Escape One Mikocheni likiwa na kauli mbiu Bongo Throw Back. Kulia ni Meneja Mawasiliano, Krantz Mwantepele.

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya Freconic...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani