Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali


1.0   Utangulizi:


Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Hukumu kwa Clouds Radio na TV ukiukwaji wa kanuni za utangazaji kipindi cha Bibi Bomba na njia panda

10492481_10202574900320231_1094175545817198175_n

Mwenyekiti wa Kamati Maudhui Eng. Margaret Munyagi (wa pili kulia), akisoma hukumu dhidi ya Could FM na Clouds TV kuhusu uvunjwaji wa kanuni za utangazaji.. Wengine toka kushoto, Abdul Ngarawa, Joseph Mapunda na Walter Bugoya.(Picha kwa hisani ya Innocent Mungy wa TCRA).

Rulling Clouds Fm Radio by moblog

 

10 years ago

Michuzi

TCRA YAKITOZA FAINI KITUO CHA TELEVISHENI CHA CLOUDS TV NA RADIO CLOUDS FM KWA KUKIUKA MAUDHUI YA UTANGAZAJI

Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Margaret Munyagi (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Agosti 22, 2014 jijini Dar es Salaam, wakati akisoma maamuzi yaliyofikiwa na Mamlaka hiyo kuhusu shauri la ukiukaji wa kanuni za utangazaji namba 5/2014 dhidi ya Kituo cha Televisheni cha Clouds na Kituo cha Clouds Intertainment FM Radio cha Dar es Salaam. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati hiyo, Bgoya Walter.Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya...

 

10 years ago

GPL

WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR ATEMBELEA KITUO KIPYA CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC)

Chumba cha mitambo ya kurushia matangazo (Transmitter) kilichopo katika Kituo cha Bungi, Unguja. Fundi mkuu wa kituo hicho Nd. Ali Aboud Talib akitoa maelezo ya kiufundi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar Mhe. Said Ali Mbarouk wa kushoto.…

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar atembelea kituo kipya cha kurushia matangazo cha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).

Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar  Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar Mhe. Said Ali Mbarouk amesema zaidi ya shilingi milioni 100 za Kitanzania zinahitajika ili kukamilisha ujenzi wa kituo kipya cha kurushia matangazo cha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).  Hayo ameyasema wakati wa ziara yake ya kutembelea kituo hicho kilichopo Bungi Wilaya ya Kati Unguja. Amesema lengo la ziara hiyo ni kuangalia ufanisi wa kazi kwa watendaji wa kituo hicho na kusisitiza kuwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA

   Meneja wa Ghetto Radio ya Sibuka FM  94.5 Bw. Edward Rukaka  aliyeshika Mkasi ,akiizindua Rasmi Studio hiyo na kuitambulisha kwa wadau. kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Bahati nasibu Tanzania Bw. Abbas Tarimba akishuhudia uzinduzi huo. Mkurugenzi wa Ghetto Radio Kenya Bw. Majimaji akizungumza wakati wa usiku wa kuzindua Rasmi Studio ya Kurushia matangazo ya Radio ya Ghetto Radio ya Sibuka FM Nchini Tanzania hivi karibuni Mkurugenzi wa Sibuka George Nangali kulia akiwa na
Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA ZAFANA

   Meneja wa Ghetto Radio ya Sibuka FM  94.5 Bw. Edward Rukaka  aliyeshika Mkasi ,akiizindua Rasmi Studio hiyo na kuitambulisha kwa wadau. kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Bahati nasibu Tanzania Bw. Abbas Tarimba akishuhudia uzinduzi huo. Mkurugenzi wa Ghetto Radio Kenya Bw. Majimaji akizungumza wakati wa usiku wa kuzindua Rasmi Studio ya Kurushia matangazo ya Radio ya Ghetto Radio ya Sibuka FM Nchini Tanzania hivi karibuni Mkurugenzi wa Sibuka George Nangali kulia akiwa na
Mkurugenzi wa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Na Beatrice Shayo 29th August 2015 Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), imetoa onyo kali kwa Shirika la Utangazaji (TBC1) kwa kuchambua vichwa vya habari vya magazeti […]

The post Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani