Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). Na Beatrice Shayo 29th August 2015 Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), imetoa onyo kali kwa Shirika la Utangazaji (TBC1) kwa kuchambua vichwa vya habari vya magazeti […]
The post Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s72-c/tt.png)
Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali
![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s640/tt.png)
1.0 Utangulizi:
Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-adxq4Bc2l64/U61F2KdbwLI/AAAAAAACkZI/ayUnrUUpTbM/s72-c/OB4b.jpg)
Shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) lapatiwa msaada wa Gari la kisasa la kurushia matangazo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://2.bp.blogspot.com/-adxq4Bc2l64/U61F2KdbwLI/AAAAAAACkZI/ayUnrUUpTbM/s1600/OB4b.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-49r17w9hxeM/U61F23B9DnI/AAAAAAACkZU/x3Ho51uCPyE/s1600/OB4c.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5cyuBLvyKyI/VW20qJKa4vI/AAAAAAAHbWU/BEqMHRvUxfs/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA MKURUGENZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5cyuBLvyKyI/VW20qJKa4vI/AAAAAAAHbWU/BEqMHRvUxfs/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2JnrtpukDM/VW20p7YoXAI/AAAAAAAHbWY/4vvdF8WCkxk/s640/1B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-36CJmjC33YY/VW20p7JiSiI/AAAAAAAHbWc/y3trnhkoCgM/s640/2.jpg)
5 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s72-c/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
MWANDISHI WA HABARI MWANDAMIZI WA SHIRIKA LA UTANGAZAJI NCHINI TBC FLORENCY DYAULI AMEFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-FoXM2FnK_zQ/VYKNZpH4D4I/AAAAAAAHg0U/csDQYrhM8p0/s320/IMG-20150618-WA0000%2B%25281%2529%2B%25281%2529.jpg)
FRORENCE DYAULI amefariki dunia majira ya saa kumi alfajiri akiwa amelazwa katika hospitali ya RABININSIA MEMORIAL jijini Dar es Salaam, ambako alikuwa akipata matibabu.
Dyauli alizaliwa tarehe 27 mwezi wa saba mwaka 1961 na amefariki dunia tarehe 18/06/2015.Marehemu DYAULI alisoma shule ya msingi CHANG’OMBE mwaka 1968 hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s72-c/IMG_6402.jpg)
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAKABIDHIWA MRADI WA USIMIKAJI WA HUDUMA YA MKONGO WA TAIFA NA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s1600/IMG_6402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-69jpcFCMyl0/VNOG80KQAfI/AAAAAAAHCCg/bqVyUsveN2s/s1600/IMG_6404.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mn0-KAy7Q3w/VNOG9FDwWoI/AAAAAAAHCCo/onxYwiqfNwI/s1600/IMG_6415.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wyK9bAs*AkU13ustQYQE0-HtFTdioX3twxfGLJfJeChBQfsrIZOwtXCdgKcjBngG6rUbWJGnJyec5qL3tiQijDvqhyvwzyBO/unnamed25.jpg?width=650)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR ATEMBELEA KITUO KIPYA CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC)
Chumba cha mitambo ya kurushia matangazo (Transmitter) kilichopo katika Kituo cha Bungi, Unguja. Fundi mkuu wa kituo hicho Nd. Ali Aboud Talib akitoa maelezo ya kiufundi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar Mhe. Said Ali Mbarouk wa kushoto.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hKOamXp0zn4/VO09qHmpgkI/AAAAAAAHFvQ/kWhx-hjJfMI/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar atembelea kituo kipya cha kurushia matangazo cha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar Mhe. Said Ali Mbarouk amesema zaidi ya shilingi milioni 100 za Kitanzania zinahitajika ili kukamilisha ujenzi wa kituo kipya cha kurushia matangazo cha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC). Hayo ameyasema wakati wa ziara yake ya kutembelea kituo hicho kilichopo Bungi Wilaya ya Kati Unguja. Amesema lengo la ziara hiyo ni kuangalia ufanisi wa kazi kwa watendaji wa kituo hicho na kusisitiza kuwa ni...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania