SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA ZAFANA
Meneja wa Ghetto Radio ya Sibuka FM 94.5 Bw. Edward Rukaka aliyeshika Mkasi ,akiizindua Rasmi Studio hiyo na kuitambulisha kwa wadau. kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Bahati nasibu Tanzania Bw. Abbas Tarimba akishuhudia uzinduzi huo.
Mkurugenzi wa Ghetto Radio Kenya Bw. Majimaji akizungumza wakati wa usiku wa kuzindua Rasmi Studio ya Kurushia matangazo ya Radio ya Ghetto Radio ya Sibuka FM Nchini Tanzania hivi karibuni
Mkurugenzi wa Sibuka George Nangali kulia akiwa na
Mkurugenzi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Nov
SHEREHE ZA UZINDUZI WA STUDIO ZA KITUO KIPYA CHA UTANGAZAJI GHETTO RADIO TANZANIA
![](https://4.bp.blogspot.com/-EHiiLPSZN0w/VGIlWmM5_jI/AAAAAAAAY_Q/t7poGweSpyE/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qc5kMZWtlxw/VGIlM2D7oPI/AAAAAAAAY9M/lMEgwvuK4S8/s640/10.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-YEYMQApvP-c/VGIlMjbKdrI/AAAAAAAAY9I/bBNM85P_ybA/s640/1.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-3_bl0Km9A9o/VGIlR-SVQKI/AAAAAAAAY-M/nmL8E09yVS0/s640/2.jpg)
Mkurugenzi wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0ikOCXa78ZQ/U1rJH7sejtI/AAAAAAAATWc/0cL4PmopmMI/s72-c/nembo+muungano.jpg)
SHEREHE ZA MUUNGANO KITUO CHA GENEVA, SWITZERLAND ZAFANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0ikOCXa78ZQ/U1rJH7sejtI/AAAAAAAATWc/0cL4PmopmMI/s640/nembo+muungano.jpg)
10 years ago
MichuziTCRA YAKITOZA FAINI KITUO CHA TELEVISHENI CHA CLOUDS TV NA RADIO CLOUDS FM KWA KUKIUKA MAUDHUI YA UTANGAZAJI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hKOamXp0zn4/VO09qHmpgkI/AAAAAAAHFvQ/kWhx-hjJfMI/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar atembelea kituo kipya cha kurushia matangazo cha Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC).
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wyK9bAs*AkU13ustQYQE0-HtFTdioX3twxfGLJfJeChBQfsrIZOwtXCdgKcjBngG6rUbWJGnJyec5qL3tiQijDvqhyvwzyBO/unnamed25.jpg?width=650)
WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, UTALII NA MICHEZO ZANZIBAR ATEMBELEA KITUO KIPYA CHA KURUSHIA MATANGAZO CHA SHIRIKA LA UTANGAZAJI ZANZIBAR (ZBC)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s72-c/tt.png)
Hukumu Ya Kukiukwa kwa Kanuni za Utangazaji Kituo Cha Utangazaji Cha ITV - vyapewa onyo kali
![](http://2.bp.blogspot.com/-dvZSdMWJQNk/Vcz3BLPr8kI/AAAAAAAHwbQ/NytPRyZKB-M/s640/tt.png)
1.0 Utangulizi:
Mnamo tarehe 10/08/2015, kituo cha ITV kilikiuka Kanuni za Huduma ya Utangazaji (Maudhui), 2005 kupitia kipindi cha Habari Zilizotufikia Hivi Punde kilichorushwa hewani kati ya saa 2.30 asubuhi hadi saa 5.30 asubuhi. Kipindi hiki kilikiuka Kanuni za Utangazaji kwa kutoa taarifa zisizo za kweli na za kichochezi zilizotangaza kwamba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano ya mgombea wa CHADEMA Mheshimiwa Edward Lowassa. Taarifa hiyo ilikuwa...
10 years ago
Dewji Blog03 May
Sherehe za uzinduzi wa mfuko wa Uchaguzi Mkoa wa Magharibi kichama zafana Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-bh5alnVqHxo/VUTsIpnbNuI/AAAAAAAHU2o/QRZFvLT0Cbs/s1600/DSC_0027.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AZC81xdIGBo/VUTsI--HHRI/AAAAAAAHU24/K2n0ygHPfQM/s1600/DSC_0035.jpg)
10 years ago
Michuzi16 Feb
KITUO CHA RADIO 5 WAADHIMISHA SIKU YA RADIO DUNIANI
![SAM_1097](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/-UdwQuoQRFfeQs694h5GuIA0LWQuOEqyGllXNMUAm74l9LfQJSwtS5jlMSjEc4A91OfxANwORGoO2tU8_xZS7IB2mQ4NJMe8Gq6WDIAtUQhiZCA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/02/sam_1097.jpg)
Kushoto ni Mkuu wa vipindi vya Radio 5 Mathew Philip na Ashura Mohamed wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa sekondari walioshiriki katika maadhimisho hayo ya Radio duniani. Akizungumza na waandishi wahabari hivi karibuni Mkuu wa vipindi wa Radio 5 Bw.Mathew Philip alisema maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kituo hicho pamoja na Farm Radio, ikiwa ni kuhadhimisha siku ya Radio duniani ambapo ilifanyika tarehe 13/2/2015...
10 years ago
Michuzi06 Dec
KITUO CHA RADIO 5 CHAANDAA “KAMPENI YA RADIO 5 VIWANJANI”MSIMU HUU WA SIKUKUU YA XMASS NA MWAKA MPYA
![SAM_0369](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/nP931ma7CeBo8VR1mTxNEdBGGwL88Vr-BAwV2QUHmow2fOIdi1VokaY7GdtvVZ6cmJ_ffDxaFdgVGHLJPD-uNM1Egt83hhKPDMK93WRj1T5MbvUWw9Cnq6E=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0369.jpg?w=660)