Kipindi cha TBC kufichua ukali wa maisha ughaibuni
SHIRIKA la Utangazaji Tanzania(TBC), kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kitengo cha Diaspora wameanzisha kipindi cha runinga kitakachojulikana kama Bondeni kitakachokuwa kikielezea kwa undani maisha ya Watanzania waishio nchi mbalimbali duniani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTBC KUANZISHA KIPINDI CHA MAISHA YA WATANZANIA WALIO UGHAIBUNI
10 years ago
Michuzi02 Feb
11 years ago
Michuzi17 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lEWssdUrrIc/VVTcc5qWxII/AAAAAAAHXVc/va2x0po4JAc/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Usikose kipindi kipya cha luninga ‘Nyumbani na Diaspora’ kinachoendeshwa na Maggid Mjengwa kila Ijumaa ndani ya TBC 1
Nyumbani na Diaspora!
Ni kipindi kipya cha saa nzima chenye kuhusiana na Watanzania wa nyumbani na walio nje ya mipaka yetu.
Ni kipindi daraja kitakachowaunganisha Watanzania katika kubaini fursa mbalimbali za kuinuka kimaendeleo, kwa mtu mmoja mmoja, jumuiya na hatimaye taifa.
Ni kipindi kitakachoongozwa na mchambuzi na mmoja wa wanahabari nguli hapa nchini. Si mwingine ni Maggid Mjengwa.
Jiunge nae kufuatilia mahojiano motomoto na watu wa kada mbalimbali kwenye masuala ya kiuchumi,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-G_J8BMUcJQE/VPQ6qVxAncI/AAAAAAAApSA/zsxVlaFgbqM/s72-c/lemutuzzzzsss.jpg)
JITIRIRISHE ALICHOKISEMA LE MUTUZ JUU YA KIFO CHA KOMBA NA MAISHA YA WATU WA UGHAIBUNI
![](http://4.bp.blogspot.com/-G_J8BMUcJQE/VPQ6qVxAncI/AAAAAAAApSA/zsxVlaFgbqM/s640/lemutuzzzzsss.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-H70Fhx4tXKE/VTN_kQgkUXI/AAAAAAADi_4/-7uBrxmBI6k/s72-c/unnamed.jpg)
Katika kipindi cha "HUYU NA YULE" kesho (Jumatatu), usikose kujua UNDANI wa maisha ya Linda
![](http://2.bp.blogspot.com/-H70Fhx4tXKE/VTN_kQgkUXI/AAAAAAADi_4/-7uBrxmBI6k/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oZo5j12lsyU/UyZl0jDUjqI/AAAAAAAAG1I/63tBzF9UxyM/s72-c/Makulilo.jpg)
mwana-Diaspora Boniface Makulilo azungumzia maisha katika jeshi la Marekani kwenye kipindi cha NJE-NDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZo5j12lsyU/UyZl0jDUjqI/AAAAAAAAG1I/63tBzF9UxyM/s1600/Makulilo.jpg)
Jeshi la Maji la Marekani (Navy) Mtanzania Boniface Makulilo ametumikia Jeshi la Maji (NAVY) hapa Marekani kwa miaka miwili na sasa ni mwanajeshi mstaafu (Veteran) Amezungumza na Mubelwa Bandio wa Jamii Production kuhusu maisha yake ya jeshini na namna ambavyo watu toka nje ya nchi wanaweza kunufaika na mafao yaliyopo jeshini. Ameeleza mengi ya manufaa ambayo wengi hatuyajui kuhusu maisha katika jeshi hilo. Karibu uungane...
10 years ago
GPL22 Jun
USIKOSE KUTAZAMA NYUMBANI NA DIASPORA KIPINDI KIPYA NDANI YA TBC 1