Katika kipindi cha "HUYU NA YULE" kesho (Jumatatu), usikose kujua UNDANI wa maisha ya Linda
![](http://2.bp.blogspot.com/-H70Fhx4tXKE/VTN_kQgkUXI/AAAAAAADi_4/-7uBrxmBI6k/s72-c/unnamed.jpg)
NI MENGI AMEZUNGUMUZA AMBAYO MIMI NA WEWE HATUKUYAJUAKesho Jumatatu katika kipindi cha huyu na yule cha mahojiano na mwanamitindo mbunifu wa LB kutoka Atlanta, Georgia atakapoelezea historia yake yenye milima na mabonde historia ya maisha yake yenye huzuni na furaha wakati mwingine Linda akitokwa na machozi kwa kukumbuka maisha aliyopitia. Je Mume wake Mali walijuana nae wapi? na mengine mengi kuhusu maisha yake ikiwemo kampuni yake ya LB na malengo yake ya kupeperusha bendera ya Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-H70Fhx4tXKE/VTN_kQgkUXI/AAAAAAADi_4/-7uBrxmBI6k/s72-c/unnamed.jpg)
KESHO JUMATATU MAHOJIANO YA HUYU NA YULE USIKOSE KUJUA USIRI WA MAISHA YA LINDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-H70Fhx4tXKE/VTN_kQgkUXI/AAAAAAADi_4/-7uBrxmBI6k/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gx6WWG-fZCo/VgnlarNVTdI/AAAAAAAAJuk/2YApWIPvTKE/s72-c/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 28 2015 (FULL) KILA SIKU YA LEO JUMATATU KUANZIA SAA 12 JIONI ET USIKOSE
![](http://3.bp.blogspot.com/-gx6WWG-fZCo/VgnlarNVTdI/AAAAAAAAJuk/2YApWIPvTKE/s640/Uchaguzi%2BTanzania%2B2015.png)
Hiki ni kipindi kilichosikika Septemba 28, 2015
Kutoka Tanzania tuliungana na Liberatus Mwang'ombe. Mgombea ubunge jimbo la Mbarali kwa tiketi ya CHADEMA
Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, na kwa njia ya simu tukaungana na wasikilizaji wengi ndani na nje ya Marekani
KARIBU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-i67gOQ16zWY/VTz1IXN6S3I/AAAAAAAAIjU/PzX4GIOxMfg/s72-c/unnamed.jpg)
Pt II ya mahojiano na Linda Bezuidenhout kesho....USIKOSE
![](http://3.bp.blogspot.com/-i67gOQ16zWY/VTz1IXN6S3I/AAAAAAAAIjU/PzX4GIOxMfg/s1600/unnamed.jpg)
Ameeleza mengi kuhusu kazi yake na familia kwa ujumla.
Anavyokabiliana na kazi zake, changamoto za afanyalo, tuzo alizopata nk
Na pia, kaeleza kuhusu mtazamo wake juu ya waTanzania (hasa wa Diaspora) na ushauri kwa kinamama wote
USIKOSE mahojiano yaliyofanywa na mwakilishi wa Vijimambo na Kwanza production Michigan Alpha Igogo ambae alitaka kujua...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s72-c/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... Dr Talib Ali
![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s640/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
Kwa ufupi........
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s72-c/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... DK. Talib Ali
![](http://2.bp.blogspot.com/-6kZGv7Ai0Bg/VKnzbAtv35I/AAAAAAAAHvo/sKdVcBpOqMk/s640/Harrieth%2BTalib%2BBandio.jpg)
11 years ago
Michuzi23 Jul
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IE4iyuflJpw/U6oVSi_NrmI/AAAAAAAAHJc/i_5W089ZG0Q/s72-c/Nuru.jpg)
Katika "HUYU NA YULE" ya NJE-NDANI wiki hii...
![](http://1.bp.blogspot.com/-IE4iyuflJpw/U6oVSi_NrmI/AAAAAAAAHJc/i_5W089ZG0Q/s1600/Nuru.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2RHcTA3yfWA/Vd6XR7BKTmI/AAAAAAAH0Sg/zS7no186caE/s72-c/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
11 years ago
CloudsFM29 May
YULE MTOTO ALIYEFUNGIWA KWENYE BOKSI MOROGORO HUYU HAPA AKIWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Morogoro, Dk Godfrey Mtei alisema Nasra alipelekwa Muhimbili juzi usiku baada ya hali yake kutoridhisha.
Alisema afya ya Nasra ilibadilika ghafla juzi asubuhi na kushindwa kupumua vizuri, jambo lililowalazimu madaktari kumpeleka Muhimbili kwa gari maalumu la wagonjwa...