mwana-Diaspora Boniface Makulilo azungumzia maisha katika jeshi la Marekani kwenye kipindi cha NJE-NDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZo5j12lsyU/UyZl0jDUjqI/AAAAAAAAG1I/63tBzF9UxyM/s72-c/Makulilo.jpg)
Mwana-Diaspora Boniface Makulilo alipokuwa katika
Jeshi la Maji la Marekani (Navy)
Mtanzania Boniface Makulilo ametumikia Jeshi la Maji (NAVY) hapa Marekani kwa miaka miwili na sasa ni mwanajeshi mstaafu (Veteran)
Amezungumza na Mubelwa Bandio wa Jamii Production kuhusu maisha yake ya jeshini na namna ambavyo watu toka nje ya nchi wanaweza kunufaika na mafao yaliyopo jeshini.
Ameeleza mengi ya manufaa ambayo wengi hatuyajui kuhusu maisha katika jeshi hilo. Karibu uungane...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A2NJzilMat8/Uy-M2WibiNI/AAAAAAAAG2Q/OzCVBwai2Pk/s72-c/Makulilo2.jpg)
Mdau Boniface Makulilo akijadili suala la Scholarship katika kipindi cha NJE-NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-A2NJzilMat8/Uy-M2WibiNI/AAAAAAAAG2Q/OzCVBwai2Pk/s640/Makulilo2.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4KOJORmCQOM/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Kumekucha kipindi kipya cha ‘NYUMBANI NA DIASPORA..! ndani ya TBC1 Ijumaa hii Juni 26
Mwanzilishi na mtayarishaji wa kipindi cha NYUMBANI NA DIASPORA, Bw. Maggid Mjengwa (katikati) akitambulisha rasmi kipindi hicho cha televisheni kitakachokuwa kikiruka kila Ijumaa kupitia TBC1. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Diaspora Initiative, Emmanuel Mwachullah na kushoto ni Mkurugenzi wa Diaspora, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi.Rosemary Jairo walipokuwa katika mkutano huo katika ukumbi wa Idara habari Maelezo mapema leo Juni 25.
Na Andrew...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Gfw9n5YX15Q/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Jun
Usikose kipindi kipya cha luninga ‘Nyumbani na Diaspora’ kinachoendeshwa na Maggid Mjengwa kila Ijumaa ndani ya TBC 1
Nyumbani na Diaspora!
Ni kipindi kipya cha saa nzima chenye kuhusiana na Watanzania wa nyumbani na walio nje ya mipaka yetu.
Ni kipindi daraja kitakachowaunganisha Watanzania katika kubaini fursa mbalimbali za kuinuka kimaendeleo, kwa mtu mmoja mmoja, jumuiya na hatimaye taifa.
Ni kipindi kitakachoongozwa na mchambuzi na mmoja wa wanahabari nguli hapa nchini. Si mwingine ni Maggid Mjengwa.
Jiunge nae kufuatilia mahojiano motomoto na watu wa kada mbalimbali kwenye masuala ya kiuchumi,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_vO2PFAttfI/U6OrA9UydcI/AAAAAAAAHIQ/CYN5KPhH8g0/s72-c/Bandio+&+Haika+interview.jpg)
Usikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI Jumamosi hii
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vO2PFAttfI/U6OrA9UydcI/AAAAAAAAHIQ/CYN5KPhH8g0/s1600/Bandio+&+Haika+interview.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pnEcRU5QgUs/U6OrA9HEMDI/AAAAAAAAHIM/WRLemu77nao/s1600/Haika+Lawere+ISKA.jpg)
Photo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eUTS2Zkc8sU/U5jeud8FdSI/AAAAAAAAHGI/MvT9rQzUCAU/s72-c/Fabian+Lwamba.jpg)
Usikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI wiki hii
![](http://1.bp.blogspot.com/-eUTS2Zkc8sU/U5jeud8FdSI/AAAAAAAAHGI/MvT9rQzUCAU/s640/Fabian+Lwamba.jpg)
Katika NJE-NDANI wiki hii kati ya utakayosikia mahojiano na Fabian Lwamba Mmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3KVyCvXANxA/U5jfAypod9I/AAAAAAAAHGQ/U0uef84f1J4/s640/Lwamba+brothers.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt7Fwb7gjrgY0M0cpHQRrdOkmgRBqn5gHZf4CpXE5UlbdcyxDAM0Wyr1bwOD6HDjkIRJ*JhPg3eoCi7v-G6P-gzj/dc.jpg?width=650)
MKUU WA MKOA DODOMA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA KATIKA KIPINDI CHA MIKUTANO YA CCM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O5eBDP0iXTc/VZuJPU7s5PI/AAAAAAAHncE/zWrzkFStsec/s72-c/MMGL0641.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azungumzia hali ya usalama katika kipindi hiki cha Mikutano ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-O5eBDP0iXTc/VZuJPU7s5PI/AAAAAAAHncE/zWrzkFStsec/s640/MMGL0641.jpg)