Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mdau Boniface Makulilo akijadili suala la Scholarship katika kipindi cha NJE-NDANI


Mdau Ernest Makulilo ambaye huandika kuhusu masuala ya Scolarship HAPA na pia kutoa video za suala hili HAPA UNATAKA SCOLARSHIP? Unajua pa kuzipata? Unajua namna ya kuzipata? Masharti yake je? Makosa yanayofanywa na wengi? Tofauti ya Scholarships za Undergraduate na Graduates wazijua? Yapi ya kuchunga wakati wa kutafuta scholarships? Boniface Makulilo ambaye amenufaika na scholarship hizi na kuandika kuzihusu kwa miaka ipatayo sita anaungana na Mubelwa Bandio wa Jamii Production...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

mwana-Diaspora Boniface Makulilo azungumzia maisha katika jeshi la Marekani kwenye kipindi cha NJE-NDANI

Mwana-Diaspora Boniface Makulilo alipokuwa katika 
Jeshi la Maji la Marekani (Navy) Mtanzania Boniface Makulilo ametumikia Jeshi la Maji (NAVY) hapa Marekani kwa miaka miwili na sasa ni mwanajeshi mstaafu (Veteran) Amezungumza na Mubelwa Bandio wa Jamii Production kuhusu maisha yake ya jeshini na namna ambavyo watu toka nje ya nchi wanaweza kunufaika na mafao yaliyopo jeshini. Ameeleza mengi ya manufaa ambayo wengi hatuyajui kuhusu maisha katika jeshi hilo. Karibu uungane...

 

11 years ago

Michuzi

Usikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI Jumamosi hii

Haika Lawere akiwa tayari kwa mahojiano na Kwanza Production ya Washington DC  Katika NJE-NDANI ya Kwanza Production na Border Radio wiki hii, mbali na habari kuhusu Afrika, utasikia mahojiano yangu na Haika Lawere. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mbezi Garden Hotel ya Dar Es Salaam Tanzania Amekuwa mkarimu sana kujiunga nami hapa Maryland USA kuzungumza mengi kuhusu maisha na ujasiriamali. Haika Lawere akizungumza na wanawake kwenye tukio la wanawake waTanzania Washington DC
Photo...

 

11 years ago

Michuzi

Usikose kusikiliza kipindi cha NJE-NDANI wiki hii

Mubelwa Bandio akimhoji Fabian Lwamba wa KRYSTAAL
Katika NJE-NDANI wiki hii kati ya utakayosikia mahojiano na Fabian Lwamba Mmoja wa ndugu watatu wanaounda kundi la KRYSTAAL ambao walizaliwa kwenye familia iliyojiweza, lakini mgogoro wa kisiasa ukawafanya waikimbie Zaire na kutengana. Michael, Fabian na Alistone Lwamba wanaounda kundi la KRYSTAAL Walikuja kuungana Canada ambako kwa miaka 16 wamekuwa pamoja kama kundi la muziki wa injili Wametoa albamu 6 na kupata tuzo 26 Pia...

 

10 years ago

Michuzi

kipindi cha danga chee ndani ya michuzi tv sasa unakipata katika simu tv...

HUWEZI KUPITWA NA DANGA CHEE! Usiwaze, kwenye simu yako ya mkononi fuatilia popote ulipo ukiwa na SIMU.tv. Kujiunga piga *149*01# chagua Shangwe, kisha SIMU.tv(MPYA) kisha Video hitajika kisha Habari kisha Michuzi TV kwa walio na laini za Vodacom. Kwa yeyote mwenye simu au tablet ya Android pata app ya SIMU.tv kwenye Google play; bofya hapa: https://play.google.com/store/apps/details?id=com.SIMU.tv.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani