Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Zitto kuanza kazi wiki ijayo

Taasisi za Serikali na mashirika ya umma zitakuwa na wakati mgumu pale zitakapoanza kujitokeza mbele Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kama zitakuwa zimefanya matumizi ya fedha za umma kinyume na utaratibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Bunge kuanza wiki ijayo

MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu kuanza kulipwa bil.1.7/- wiki ijayo

SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.

 

11 years ago

Habarileo

Kampeni za uchaguzi mdogo Kalenga kuanza wiki ijayo

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepanga ratiba ya Uchaguzi mdogo katika jimbo la Kalenga katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, ambapo siku ya kupiga kura itakuwa Jumapili ya Machi 16, mwaka huu na kampeni zitaanza wiki ijayo.

 

10 years ago

Habarileo

Watakaofukuzwa kazi TRL kutangazwa wiki ijayo

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeWAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema wiki ijayo atatangaza majina ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli (TRL) watakaofukuzwa kazi, kutokana na kutokuwa na tija kwenye shirika.

 

10 years ago

Habarileo

Singapore. Watakaofukuzwa kazi TRL kutangazwa wiki ijayo

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison MwakyembeWAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema wiki ijayo atatangaza majina ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli (TRL) watakaofukuzwa kazi, kutokana na kutokuwa na tija kwenye shirika.

 

10 years ago

Bongo5

Ni collabo na Diamond au na Mnigeria: Nay wa Mitego kuachia kazi mpya wiki ijayo

Rapper Nay wa Mitego, wiki ijayo anatarajia kuachia kazi yake mpya ambapo amesema ni kati ya collabo aliyofanya na Diamond Platnumz au na msanii wa Nigeria. Nay ameiambia Bongo5 kuwa, bado yupo kwenye upembuzi ili kujua ni kitu gani kitakuja kati ya kazi hizo. “Kuna uwezekano tukawa tunaachia wimbo mpya wiki ijayo,” amesema. “Ni kitu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani