Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu kuanza kulipwa bil.1.7/- wiki ijayo

SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Watumishi wasio walimu kulipwa bil 4/-

SERIKALI imesema inaendelea kushughulikia madai na madeni ya watumishi wake ambapo imetenga shilingi bilioni nne kwa ajili ya kulipa madai ya watumishi wa serikali za mitaa wasio walimu kuanzia mwezi huu.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu shule za msingi Mwanza kulipwa bil.8.1/-

WALIMU 3,410 wa shule za msingi na sekondari mkoani hapa, wamepandishwa madaraja na watalipwa zaidi ya Sh bilioni 8.1.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-

SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.

 

10 years ago

Habarileo

Bunge kuanza wiki ijayo

MKUTANO wa 16 na 17 wa Bunge unatarajiwa kuanza wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mbalimbali, utajadili miswada miwili binafsi, ukiwamo muswada binafsi wa mbunge, maazimio matatu na Muswada wa Kamati ya Bajeti.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati ya Zitto kuanza kazi wiki ijayo

Taasisi za Serikali na mashirika ya umma zitakuwa na wakati mgumu pale zitakapoanza kujitokeza mbele Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kama zitakuwa zimefanya matumizi ya fedha za umma kinyume na utaratibu.

 

11 years ago

Habarileo

Kampeni za uchaguzi mdogo Kalenga kuanza wiki ijayo

Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius MallabaTUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imepanga ratiba ya Uchaguzi mdogo katika jimbo la Kalenga katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, ambapo siku ya kupiga kura itakuwa Jumapili ya Machi 16, mwaka huu na kampeni zitaanza wiki ijayo.

 

9 years ago

Habarileo

Waliopisha EPZA Bagamoyo kulipwa bil 40/-

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewahakikishia wananchi wa Bagamoyo mkoani Pwani kuwa, kitakapoingia madarakani lazima kilipe deni la Sh bilioni 40 kwa waliokubali kupisha Mradi Maalumu wa Uzalishaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani