Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-
SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo10 Oct
Walimu kuanza kulipwa bil.1.7/- wiki ijayo
SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.
9 years ago
Habarileo17 Oct
Watumishi wasio walimu kulipwa bil 4/-
SERIKALI imesema inaendelea kushughulikia madai na madeni ya watumishi wake ambapo imetenga shilingi bilioni nne kwa ajili ya kulipa madai ya watumishi wa serikali za mitaa wasio walimu kuanzia mwezi huu.
11 years ago
Habarileo21 May
'Madeni ya walimu kulipwa kabla ya Julai'
SERIKALI imesisisitiza kuwa italipa madeni ya malimbikizo ya mishahara ya walimu kabla ya kumalizika kwa mwaka huu wa fedha, 2013/14. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa, alieleza hayo bungeni juzi jioni wakati akichangia mjadala wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
11 years ago
Habarileo12 Apr
Walimu shule za msingi Mwanza kulipwa bil.8.1/-
WALIMU 3,410 wa shule za msingi na sekondari mkoani hapa, wamepandishwa madaraja na watalipwa zaidi ya Sh bilioni 8.1.
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Mameya, madiwani kulipwa kiinua mgongo Sh52 bilioni
10 years ago
Habarileo06 Jun
Wazee miaka 70 kuanza kulipwa pensheni
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuanzia mwaka wa fedha wa 2015/16, itaanza kulipa pensheni kwa wazee wenye umri wa miaka 70 kwa lengo la kuwawezesha kujikimu kimaisha.
11 years ago
Habarileo12 Jul
Kidunda kuanza kulipwa fidia Julai 21
MAMLAKA ya Maji Safi na Majitaka Mkoa wa Dar es Salaam, (DAWASA), imetenga kiasi cha sh bilioni 7.9 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi 2,600 watakaohamishwa katika kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro kupisha ujenzi wa bwawa la maji na barabara.
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Wasanii Bongo Kuanza Kulipwa Kutoka Nje ya Nchi
Mkurugenzi Mkuu wa CMEA, Paul Matthysse ‘P-Funk’ akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Waandishi wa habari, wasanii na wadau wa sanaa nchini wakifuatilia semina hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu kutoka COSOTA Bi. Doreen Sinare akiwafafanulia jambo wadau wa sanaa.
Staa wa Hip Hop, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ akiwa na Prodyuza Lamar wakifuatilia semina hiyo.
Staa wa Bongo Fleva, Barnabas Elias ‘Barnaba’ akiuliza swali kwa wahusika ambao ni COSOTA na CMEA.
Wadau wa sanaa...
10 years ago
Habarileo05 Jun
Nyumba za walimu zajengwa kwa bilioni 14/-
SERIKALI imetoa kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) Sh bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu nchini kati ya mwaka 2009 hadi mwaka 2013.