Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu kuanza kulipwa bilioni 1.7/-

SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Walimu kuanza kulipwa bil.1.7/- wiki ijayo

SERIKALI imejipanga kumaliza madeni inayodaiwa na walimu kwa awamu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 1.7 zitaanza kulipwa kuanzia wiki ijayo na kutekeleza muundo mpya wa utumishi, ambao ni pamoja na kupandisha vyeo.

 

9 years ago

Habarileo

Watumishi wasio walimu kulipwa bil 4/-

SERIKALI imesema inaendelea kushughulikia madai na madeni ya watumishi wake ambapo imetenga shilingi bilioni nne kwa ajili ya kulipa madai ya watumishi wa serikali za mitaa wasio walimu kuanzia mwezi huu.

 

11 years ago

Habarileo

'Madeni ya walimu kulipwa kabla ya Julai'

SERIKALI imesisisitiza kuwa italipa madeni ya malimbikizo ya mishahara ya walimu kabla ya kumalizika kwa mwaka huu wa fedha, 2013/14. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Kassim Majaliwa, alieleza hayo bungeni juzi jioni wakati akichangia mjadala wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu shule za msingi Mwanza kulipwa bil.8.1/-

WALIMU 3,410 wa shule za msingi na sekondari mkoani hapa, wamepandishwa madaraja na watalipwa zaidi ya Sh bilioni 8.1.

 

9 years ago

Mwananchi

Mameya, madiwani kulipwa kiinua mgongo Sh52 bilioni

Mameya, wenyeviti wa halmashauri na madiwani nchini watalipwa jumla ya Sh51.95 za kiinua mgongo mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Wazee miaka 70 kuanza kulipwa pensheni

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema kuanzia mwaka wa fedha wa 2015/16, itaanza kulipa pensheni kwa wazee wenye umri wa miaka 70 kwa lengo la kuwawezesha kujikimu kimaisha.

 

11 years ago

Habarileo

Kidunda kuanza kulipwa fidia Julai 21

MAMLAKA ya Maji Safi na Majitaka Mkoa wa Dar es Salaam, (DAWASA), imetenga kiasi cha sh bilioni 7.9 kwa ajili ya kulipa fidia kwa wakazi 2,600 watakaohamishwa katika kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro kupisha ujenzi wa bwawa la maji na barabara.

 

9 years ago

Global Publishers

Wasanii Bongo Kuanza Kulipwa Kutoka Nje ya Nchi

COSOTA (1) Mkurugenzi Mkuu wa CMEA, Paul Matthysse ‘P-Funk’ akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
COSOTA (2)Waandishi wa habari, wasanii na wadau wa sanaa nchini wakifuatilia semina hiyo.
COSOTA (4)Afisa Mtendaji Mkuu kutoka COSOTA  Bi. Doreen Sinare akiwafafanulia jambo wadau wa sanaa.
COSOTA (5)Staa wa Hip Hop, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ akiwa na Prodyuza Lamar wakifuatilia semina hiyo.
COSOTA (7)Staa wa Bongo Fleva, Barnabas Elias ‘Barnaba’ akiuliza swali kwa wahusika ambao ni COSOTA na CMEA.
COSOTA (8)Wadau wa sanaa...

 

10 years ago

Habarileo

Nyumba za walimu zajengwa kwa bilioni 14/-

Kassim MajaliwaSERIKALI imetoa kupitia Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) na Sekondari (MMES) Sh bilioni 13.9 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu nchini kati ya mwaka 2009 hadi mwaka 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani