Wasanii Bongo Kuanza Kulipwa Kutoka Nje ya Nchi
Mkurugenzi Mkuu wa CMEA, Paul Matthysse ‘P-Funk’ akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Waandishi wa habari, wasanii na wadau wa sanaa nchini wakifuatilia semina hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu kutoka COSOTA Bi. Doreen Sinare akiwafafanulia jambo wadau wa sanaa.
Staa wa Hip Hop, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ akiwa na Prodyuza Lamar wakifuatilia semina hiyo.
Staa wa Bongo Fleva, Barnabas Elias ‘Barnaba’ akiuliza swali kwa wahusika ambao ni COSOTA na CMEA.
Wadau wa sanaa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Wasanii Bongo kulipwa kwa nyimbo zao kuchezwa kwenye Tv na Radio? majibu anayo Waziri…(+Audio)
Tumekuwa tukishuhudia au kusikia baadhi ya wasanii wa ng’ambo wakinufaika kwa namna tofauti katika sanaa zao kwa kupitia nyimbo zao kuchezwa kwenye vituo vya Radio na Tv kisha kulipwa mkwanja mrefu na kukuza uchumi kupitia vipaji vyao. Sasa leo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye ana haya ya kukufahamisha kuhusu wasanii wa […]
The post Wasanii Bongo kulipwa kwa nyimbo zao kuchezwa kwenye Tv na Radio? majibu anayo Waziri…(+Audio) appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-H3yK9HZUKjw/U_8Tw9CETlI/AAAAAAAGKq4/Zdf2fqmuGMk/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kufanyika Agosti 29, jijini Dar
Alitoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dar-es-salaam kuhusu mkutano wa Mawaziri wa Mazingira na Mambo ya Nje kutoka nchi za kamati ya wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi utakaofanyika jijini Dar-es -salaam katika ukumbi wa...
10 years ago
GPLMKUTANO WA MAWAZIRI WA MAZINGIRA NA MAWAZIRI WA MAMBO YA NJE KUTOKA NCHI ZA KAMATI YA WAKUU WA NCHI ZA AFRIKA KUFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s72-c/Untitled%2B%25281%2529.png)
BASATA YAWATAKA WASANII WAFUATE TARATIBU WANAPOENDA NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s640/Untitled%2B%25281%2529.png)
Kwa mujibu wa taratibu zilizopo, msanii yeyote anapokwenda nje ya nchi anapaswa kujaza fomu maalumu inayotolewa na BASATA na baadaye kupewa kibali bure (bila gharama ...
11 years ago
Bongo529 Jul
Ongezeko la wasanii kushoot video kutumia waongozaji wa nje; Tobo linalovuja kwenye muziki wa Bongo
9 years ago
Bongo530 Dec
Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi
![Adam Jumaa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/Adam-Jumaa-300x194.jpg)
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.
Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.
“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
Wanamuziki wa Bongo Msiogope Kutoa kazi Zenu nje ya nchi, Mnakubalika! - Ras Makunja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9noH3J7jTXw/VTwVjqMTocI/AAAAAAAHTTE/BJzaENDXpV0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
Mwanamuziki Ebrahim Makunja aka kamanda Ras Makunja akihojiwa kwa njia ya simu alikuwa akijibu maswali ambayo majibu yake yamesikika kama ni pumzi mpya ya uhai wa muziki wa dansi Tanzania na miziki mingine kama vile taarabu na muziki wa kizazi...
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s72-c/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Wasafiri kutoka nje ya nchi kupelekwa karantini Hosteli za Magufuli
![](https://1.bp.blogspot.com/-j3S6rO7SF_w/XonunN3WRWI/AAAAAAALmEs/xhaHgCK_jrIHGRdExrXFGSOuDsXdqTN2wCLcBGAsYHQ/s640/C6Y4mVSWAAAmRiR.jpg)
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imetangaza rasmi kwamba wasafiri wote kutoka nchi za nje zilizoathirika na ugonjwa wa Corona watalazimika kukaa karantini kwa muda wa siku 14 katika hosteli za Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam maarufu hosteli za Magufuli.
Akizungumza katika hosteli za Magufuli, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema wasafiri hao watafikia katika hosteli za Magufuli ambazo zipo katika eneo la Ubungo Jijini Dar es Salaam.
“Lengo ni...