Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.
Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.
“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM04 Nov
FID Q KUSHUTI VIDEO NZURI KWA MARA YA KWANZA NJE YA NCHI
Rapa Fid Q amekiri kuwa hajawahi kuwa na video nzuri kwa zaidi ya miaka kumi aliyokaa katika game ya muziki wa bongo flava hapa Bongo,Fid Q amefunguka mpango wake wa kwenda kushuti video kali kwa mara ya kwanza nje ya nchi.
10 years ago
Bongo521 Sep
Juma Nature asema hana mpango wa kutoa album wala kushoot video nje ya nchi
11 years ago
CloudsFM29 May
WAMASAI WAMZUIA “MWANA FA” ASIENDE KUSHUTI VIDEO YA “MFALME” NJE YA AFRIKA MASHARIKI
Staa wa ngoma ya ‘’Mfalme’ Mwana FA huenda angeenda kuishoot nje ya mipaka ya Africa Mashariki ili kufata viwango kama ilivyokua kwenye ngoma yao yeye na ay, “bila kukunja goti” ila kuna sababu ya msingi imefanya msanii huyo afute wazo la kwenda kushuti video hiyo nje ya Africa Mashariki.
Lakini pia mwana fa alikua ana ngoma nyingine kali featuring Ally Kiba ambayo kama ingepata kura za kutosha ingetoka kabla ya mfalme.Clouds fm imepiga story na fa huyu hapa...
10 years ago
Bongo505 Feb
Christiana Bella: Kama sio Godfather, ntaenda na Adam Juma kushoot video South
10 years ago
Bongo523 Sep
Adam Juma ampongeza Izzo Bizness kwa kutaja gharama halisi aliyotumia kwenye video ya ‘Walala hoi’, M 1.4
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Wasanii Bongo Kuanza Kulipwa Kutoka Nje ya Nchi
Mkurugenzi Mkuu wa CMEA, Paul Matthysse ‘P-Funk’ akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Waandishi wa habari, wasanii na wadau wa sanaa nchini wakifuatilia semina hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu kutoka COSOTA Bi. Doreen Sinare akiwafafanulia jambo wadau wa sanaa.
Staa wa Hip Hop, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ akiwa na Prodyuza Lamar wakifuatilia semina hiyo.
Staa wa Bongo Fleva, Barnabas Elias ‘Barnaba’ akiuliza swali kwa wahusika ambao ni COSOTA na CMEA.
Wadau wa sanaa...
5 years ago
MichuziWABUNGE WAUNGA MKONO ZUIO LA SERIKALI UAGIZAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuunga mkono zuio la serikali kwa wakandarasi wa miradi mbalimbali ya umeme nchini kuagiza vifaa husika nje ya nchi.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Machi 14 mwaka huu, baada ya Kamati hiyo kufanya ziara katika viwanda vya Europe Inc. Industries Ltd (Tropical) na Kilimanjaro Cables (T) Ltd (Africab), vinavyozalisha nyaya za umeme na mashine umba (transfoma), Mwenyekiti wa Kamati husika, Dunstan...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s72-c/Untitled%2B%25281%2529.png)
BASATA YAWATAKA WASANII WAFUATE TARATIBU WANAPOENDA NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s640/Untitled%2B%25281%2529.png)
Kwa mujibu wa taratibu zilizopo, msanii yeyote anapokwenda nje ya nchi anapaswa kujaza fomu maalumu inayotolewa na BASATA na baadaye kupewa kibali bure (bila gharama ...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Wasanii wa Bongo Movie waibukia mjini Iringa, watangaza kutembea nchi nzima kwa Bajaj kumuunga mkono Dkt. Magufuli
![](http://2.bp.blogspot.com/-vYTVDrdWbJU/Vgl8aCLBtwI/AAAAAAAC_5A/4YnZ8il2kyE/s640/_MG_0867.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-djrcm5f4eCg/Vgl8U1N5K5I/AAAAAAAC_4I/hF6jDVL7J1o/s640/_MG_0773.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10