Christiana Bella: Kama sio Godfather, ntaenda na Adam Juma kushoot video South
Christian Bella ana option mbili ya kushoot video ya wimbo wake ujao ‘Nashindwa’ nchini Afrika Kusini – kumtumia Godfather au kusafiri na Adam Juma. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kampuni aliyoipa kazi hiyo ikishindwa kufanya kazi kwa wakati itambidi aAchane nao na kumpa Adam Juma kutokana na uhitaji wa kazi hiyo kwa haraka. “Ngoma pamoja na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo529 Oct
Christian Bella na Alikiba wamaliza kushoot video ya ‘Nagharamia’ South
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s72-c/Master%2BJ.jpg)
Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25
![](http://4.bp.blogspot.com/-pNYNqB8vbM8/VNjGEzvMjtI/AAAAAAAAGJ8/cZeH83qAczA/s640/Master%2BJ.jpg)
10 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’
![12298834_430293703831416_1645961294_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298834_430293703831416_1645961294_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
11 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Bongo521 Sep
Juma Nature asema hana mpango wa kutoa album wala kushoot video nje ya nchi
9 years ago
Bongo530 Dec
Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi
![Adam Jumaa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/Adam-Jumaa-300x194.jpg)
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.
Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.
“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...
9 years ago
Bongo527 Oct
Chege atua South kushoot video na Justin Campos