Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Christiana Bella: Kama sio Godfather, ntaenda na Adam Juma kushoot video South

Christian Bella ana option mbili ya kushoot video ya wimbo wake ujao ‘Nashindwa’ nchini Afrika Kusini – kumtumia Godfather au kusafiri na Adam Juma. Bella ameiambia Bongo5 kuwa kampuni aliyoipa kazi hiyo ikishindwa kufanya kazi kwa wakati itambidi aAchane nao na kumpa Adam Juma kutokana na uhitaji wa kazi hiyo kwa haraka. “Ngoma pamoja na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Christian Bella na Alikiba wamaliza kushoot video ya ‘Nagharamia’ South

Christian Bella na Alikiba waliopo nchini Afrika Kusini, wamekamilisha ku-shoot video ya wimbo wao ‘Nagharamia.’ Bella ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo ilienda kama walivyopanga. “Video tumemaliza jana, imeenda poa na November inatoka audio na video, kwahiyo sasa hivi mashabiki wasubirie mambo mazuri yanakuja,” ameiambia Bongo5. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter […]

 

10 years ago

Vijimambo

Master J asema sio haki kwa msanii kurekodi wimbo kwa laki 2 na kushoot video South kwa milioni 25

Mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini, Master J amekuwa mstari wa mbele kupaza sauti kuhusiana na kutokuwepo kwa usawa kati ya watayarishaji wa muziki na wasanii nchini.Master J ameiambia Bongo5 kuwa kuna watayarishaji ameshaona wanakosa moyo wa kufanya kazi kutokana hali hiyo.“Tanzania maprodyuza ni maskini, eti wasanii wana hela kuliko producers hii ni industry gani,” amehoji Master J. “Kwa sababu hapa hizi sheria zilizopo hazimlindi producer ndo maana anadharaulika. Huyo huyo msanii yupo...

 

10 years ago

Bongo5

Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma

Kutoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ ni kitu ambacho Linah hakukifanya kirahisi. Linah ameiambia Bongo5 kuwa wakati anakabidhi pesa hiyo kwa director huyo aliona kama anazitoa. “Godfather tulimkabidhi $15,000 mbele ya mashahidi na baada ya hapo tukamalizia tena dola $15,000 jumla ikawa $30,000 […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’

12298834_430293703831416_1645961294_n

Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.

12298834_430293703831416_1645961294_n
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar

Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.

Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...

 

10 years ago

Bongo5

Juma Nature asema hana mpango wa kutoa album wala kushoot video nje ya nchi

Juma Nature amedai kuwa hafikirii kwenda kushoot video zake nje ya nchi kama wasanii wengi wa Tanzania wanavyofanya. Nature amesema anaamini kuwa hapa nchini kila kitu kinawezekana. “Mie video zangu zote nitafanyia hapa hapa labda nikienda huko Ulaya kufanya show ndo nitaweza kufanya video lakini eti natoka hapa sijui naenda kufanya huko video siwezi,” amesema […]

 

9 years ago

Bongo5

Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi

Adam Jumaa

Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.

Adam Jumaa

Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.

“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...

 

9 years ago

Bongo5

Chege atua South kushoot video na Justin Campos

Chege Chigunda amewasili nchini Afrika Kusini kwaajili ya maandalizi ya video yake mpya ya wimbo ‘Sweety Sweety’ aliyowashirikisha Runtown pamoja na Uhuru. Akizungumza na Bongo5 akiwa nchini Afrika Kusini, Chege alisema kila kitu kinaenda sawa na muongozaji Justin campos kutoka kwa Gorilla Films ndio ataongoza video hiyo. “Ndio tupo kwenye maandalizi ya video niliyomshirikisha, Runtown […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani