Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma
Kutoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ ni kitu ambacho Linah hakukifanya kirahisi. Linah ameiambia Bongo5 kuwa wakati anakabidhi pesa hiyo kwa director huyo aliona kama anazitoa. “Godfather tulimkabidhi $15,000 mbele ya mashahidi na baada ya hapo tukamalizia tena dola $15,000 jumla ikawa $30,000 […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo514 Jul
Video: Teaser ya video mpya ya Linah ‘Ole Themba’ aliyoshoot Afrika Kusini na director GodFather
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Linah akumbuka Dola 47,000 za Ole Themba
11 years ago
Bongo517 Jul
New Video: Linah — Ole Themba
11 years ago
GPL17 Jul
11 years ago
Bongo522 Jul
Video: Linah azungumzia video ya Ole Themba, aeleza sababu ya kuonesha utamaduni wa kizulu
11 years ago
Dewji Blog17 Jul
11 years ago
Bongo517 Jul
New Music: Linah — Ole Themba
9 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Diamond amleta Godfather Dar kushoot video zake ‘kimya kimya’
![12298834_430293703831416_1645961294_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12298834_430293703831416_1645961294_n-300x194.jpg)
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather, Mike Dube jijini Dar
Muongozaji huyo na timu yake ipo jijini Dar kwa siku ya tano tayari na siku zote hizo imekuwa ikifanya kazi. Ofcourse Diamond na Godfather hawajasema chochote kuhusiana na hilo lakini msaidizi wake Mike Dube ameumwaga ubuyu.
Kwenye Instagram, Dube amepost picha ya pontoni la...
10 years ago
Bongo505 Feb
Christiana Bella: Kama sio Godfather, ntaenda na Adam Juma kushoot video South