Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video: Teaser ya video mpya ya Linah ‘Ole Themba’ aliyoshoot Afrika Kusini na director GodFather

Baada ya Diamond Platnumz, Ommy Dimpoz na wasanii wengine wachache wa Tanzania kuanza kutafuta upenyo wa kulikamata soko la kimataifa, msanii wa kike Linah Sanga naye ameongezeka kwenye orodha hiyo. Hivi karibuni Linah alikuwa nchini Afrika Kusini ambako alifanikiwa kurekodi nyimbo kadhaa na maprodyuza wa huko akiwa chini ya usimamizi wake mpya. Licha ya kurekodi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma

Kutoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ ni kitu ambacho Linah hakukifanya kirahisi. Linah ameiambia Bongo5 kuwa wakati anakabidhi pesa hiyo kwa director huyo aliona kama anazitoa. “Godfather tulimkabidhi $15,000 mbele ya mashahidi na baada ya hapo tukamalizia tena dola $15,000 jumla ikawa $30,000 […]

 

10 years ago

Bongo5

Video mpya ya Rich Mavoko ‘ Pacha Wangu’ aliyoshoot Afrika Kusini na director AJ

Hatimaye Rich Mavoko ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Pacha Wangu’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu. Video imefanyika jijini Cape Town, Afrika Kusini na kuongozwa na director Adam Juma wa Visual Lab:Next Level. Itazame

 

11 years ago

Bongo5

Video: Linah azungumzia video ya Ole Themba, aeleza sababu ya kuonesha utamaduni wa kizulu

Linah amesema uamuzi wa kutumia utamaduni wa kizulu kwenye video yake ya ‘Ole Themba’ (‘tumaini’ kwa Kiswahili), ni kutanua soko la muziki na pia Afrika Kusini ni kama ndugu wa Tanzania hivyo anaamini kubalishana utamaduni ni jambo jema. Akiongea kwenye mahojiano na Bongo5, Linah amesema video ya wimbo huo imeigharimu kampuni inayomsimania, No Fake Zone, […]

 

11 years ago

Bongo5

New Video: Linah — Ole Themba

Hatimaye video mpya ya Linah aliyoifanya Afrika Kusini na muongozaji GodFather imeachiwa rasmi. Wimbo unaitwa ‘Ole Themba, video na audio vyote vimefanyika Afrika Kusini. Linah ambaye kwa sasa ana uongozi mpya uitwao No Fake Zone Entertainment (NFZ), jana ameagwa rasmi na Tanzania House of Talenta (THT) iliyompika na kumlea hadi alipopata jina na kuanza kujitegemea.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’

avril

Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.

avril

Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...

 

10 years ago

Bongo5

Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake

Muongozaji wa video, Godfather kutoka Afrika Kusini ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Tanzania wakiwemo Diamond, Ommy Dimpoz, Alikiba, Linah na wengine, anatarajia kufanya ziara ya Afrika mashariki akiwa na crew yake. Katika ziara hiyo ya siku saba itakayoanza mwisho wa mwezi huu wa nne, Godfather amesema atakuwa tayari kufanya video na wasanii wa […]

 

11 years ago

Bongo5

New Music: Linah — Ole Themba

Mwanadada Linah amechia ngoma Mpya inaitwa “Ole Themba” imefanyika katika Studio za Uhuru nchini South Afrika nahii ngoma imendikwa na Nash Designer na Lina saiv kazi zake anasimamiwa na No Fake Zone Entertainment

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani