New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’
Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.
Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Hanscana ataja gharama ya video mpya ya Avril ‘ No Stress’ na mtu aliyewakutanisha

Video mpya ya Avril wa Kenya aliyomshirikisha AY ‘No Stress’ iliyoongozwa na director wa Tanzania, Hanscana imepata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki wa muziki walioisifia toka siku ya kwanza ilipowekwa Youtube November 15, 2015.
Uzuri na ubora wa video hiyo umebebwa na uwezo na ubunifu wa director na timu nzima iliyohusika, pamoja na bajeti ya kuridhisha iliyotumika katika kuandaa video hiyo iliyoshutiwa Dar.
Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa video pekee, kwa maana ya ku-design location,...
11 years ago
Bongo514 Jul
Video: Teaser ya video mpya ya Linah ‘Ole Themba’ aliyoshoot Afrika Kusini na director GodFather
11 years ago
Bongo514 Aug
New Video: Victoria kimani aachia video ya ‘Prokoto’ aliyoshoot Tanzania na kuwashirikisha Diamond na Dimpoz
11 years ago
Bongo526 Sep
Video mpya ya Rich Mavoko ‘ Pacha Wangu’ aliyoshoot Afrika Kusini na director AJ
10 years ago
Bongo513 Oct
Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania
10 years ago
Bongo505 Oct
Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani
10 years ago
Bongo518 Nov
New Music Video: Desire Luzinda aachia video mpya ‘Ekitone’
10 years ago
Bongo525 Aug
Video: Msanii wa Nigeria Skiibii aliyetumia ‘stunt’ ya kifo aachia video mpya
11 years ago
Bongo506 Aug
New Music Video: Hussein Machozi aachia video mpya ya ‘Harusi’ baada ya mkasa wa kudaiwa kufumaniwa Kenya