BASATA YAWATAKA WASANII WAFUATE TARATIBU WANAPOENDA NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s72-c/Untitled%2B%25281%2529.png)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa nchini linawakumbusha wasanii wote nchini kuhakikisha wanafuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo wanapokwenda nje ya nchi kufanya maonesho au kushiriki shughuli yoyote ya Sanaa ili kuepuka matatizo na mikanganyiko mbalimbali inayoweza kujitokeza.
Kwa mujibu wa taratibu zilizopo, msanii yeyote anapokwenda nje ya nchi anapaswa kujaza fomu maalumu inayotolewa na BASATA na baadaye kupewa kibali bure (bila gharama ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Sep
Wasanii wa Tz wanapoenda kushoot video na directors wa nje hainiathiri ila inanijengea njia nzuri — Hanscana
10 years ago
Habarileo03 May
Wanaotaka kufanya siasa wafuate taratibu-Askofu
ASKOFU Mkuu wa kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Jacob Chimeledya amewataka maaskofu na wachungaji wa kanisa watakaojiona wana sifa ya kutaka kugombea nafasi za urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu ujao, wafuate taratibu na kanuni za kanisa ikiwemo kuachia nafasi aliyo nayo.
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAWATAKA WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI 'DIASPORA' KUKOPA MIKOPO YA NYUMBA
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Wasanii Bongo Kuanza Kulipwa Kutoka Nje ya Nchi
Mkurugenzi Mkuu wa CMEA, Paul Matthysse ‘P-Funk’ akizungumza jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani).
Waandishi wa habari, wasanii na wadau wa sanaa nchini wakifuatilia semina hiyo.
Afisa Mtendaji Mkuu kutoka COSOTA Bi. Doreen Sinare akiwafafanulia jambo wadau wa sanaa.
Staa wa Hip Hop, Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ akiwa na Prodyuza Lamar wakifuatilia semina hiyo.
Staa wa Bongo Fleva, Barnabas Elias ‘Barnaba’ akiuliza swali kwa wahusika ambao ni COSOTA na CMEA.
Wadau wa sanaa...
9 years ago
Bongo530 Dec
Adam Juma awaunga mkono wasanii wanaoenda kushuti video nje ya nchi
![Adam Jumaa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/05/Adam-Jumaa-300x194.jpg)
Muongozaji wa video za muziki nchini, Adam Juma wa Visual lab amesema sio jambo baya kwa wasanii wa Tanzania kwenda kufanya video zao nje ya nchi endapo kuna faida yoyote ya ziada wanaipata.
Adam ambaye amekuwepo kwenye industry ya video kwa muda mrefu, ameongeza kuwa kikubwa anachoamini kinawapeleka nje wasanii kufanya video ni kutafuta connection na mawazo mapya na hilo sio jambo baya.
“I think ubora hatuko tofauti sana lakini pia labda ni mawazo mapya, siwezi kusema sio kwamba ubora uko...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ex1tb59m_Zk/VGbrppMeyFI/AAAAAAAGxUc/KX6jFKbP1TQ/s72-c/basata_logo.jpg)
BASATA LAWATAKA WAANDAAJI WA MASHINDANO/MATUKIO YA SANAA KUZINGATIA KANUNI NA TARATIBU ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-ex1tb59m_Zk/VGbrppMeyFI/AAAAAAAGxUc/KX6jFKbP1TQ/s1600/basata_logo.jpg)
Pia,amewataka waandaaji wa mashindano na matamasha katika vitongoji kuwa makini katika kusimamia taratibu kwani ndiyo wanaoandaa washiriki ambao baadaye wanakuja kushiriki kwenye ngazi ya...
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4MO6HFj7LMc/VgJd29lQD_I/AAAAAAAAuX0/aVwEFi53Bfc/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA LATAKA KUONDOLEWA/KUSITISHWA MARA MOJA KUCHEZWA KWA NYIMBO ZOTE ZENYE KUKENGEUKA MAADILI, SHERIA NA TARATIBU
![](http://4.bp.blogspot.com/-4MO6HFj7LMc/VgJd29lQD_I/AAAAAAAAuX0/aVwEFi53Bfc/s320/New%2BPicture.png)