Wasanii wa Tz wanapoenda kushoot video na directors wa nje hainiathiri ila inanijengea njia nzuri — Hanscana
Mtayarishaji wa video anayefanya vizuri na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema kuwa wasanii wa Tanzania wanapoenda kushoot video na watayarishaji wa nje haimuathiri bali inamtengenezea mazingira mazuri zaidi katika kazi zake. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Hanscana ameandika ujumbe huu mrefu; “Baadhi ya wasanii wa Tz kwenda kushoot video na directors […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s72-c/Untitled%2B%25281%2529.png)
BASATA YAWATAKA WASANII WAFUATE TARATIBU WANAPOENDA NJE YA NCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-SADt2-EK4N8/VbNMWB_9v-I/AAAAAAAAtZU/wMxPe6CA3KI/s640/Untitled%2B%25281%2529.png)
Kwa mujibu wa taratibu zilizopo, msanii yeyote anapokwenda nje ya nchi anapaswa kujaza fomu maalumu inayotolewa na BASATA na baadaye kupewa kibali bure (bila gharama ...
11 years ago
Bongo529 Jul
Ongezeko la wasanii kushoot video kutumia waongozaji wa nje; Tobo linalovuja kwenye muziki wa Bongo
9 years ago
Bongo520 Oct
Hanscana: Nipe bajeti nzuri mimi nitakufanyia video yenye International standards
9 years ago
Bongo528 Nov
Hanscana adai ‘Moyoni’ ya Navy Kenzo ni video iliyomfungulia njia
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Hanscana, ameitaja Moyoni ya Navy Kenzo kuwa ni video iliyomfungulia njia.
Hanscana ameandika kwenye Instagram:
Is 1year of Moyoni video by NAVYKENZO Ilitoka 28 NOV 2014 Kuanzia hapo ndio maana nipo hapa. Video ilifanyika kwa changamoto nyiiiingi sana na kubwa zaidi Clip zote tulizoshoot 1st day zilipotea dah. Ilikuwa ni changamoto kubwa sana ut tukarudia kushoot tena na ikawa super zaidi hata ya iliyopotea. Nili edit 1st cut then nikawaonesha Aika na Nahreel....
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video
9 years ago
Bongo520 Nov
Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base
![enos4](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/enos4-300x194.jpg)
Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.
Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.
Bongo5...
9 years ago
Bongo505 Oct
Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani
9 years ago
Bongo503 Nov
Dully Sykes azitaja nyimbo alizopanga kushoot video nje
![Dully](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-300x194.jpg)
Dully Sykes anafikiria kuanza kufanya video nje ya nchi.
Mwimbaji huyo mkongwe wa Bongo Fleva ambaye hajawahi kushoot video yoyote nje ya nchi, amesema kwa sasa analifikiria suala hilo kwa nyimbo ambazo amewashirikisha wasanii wa hapa nyumbani wakiwemo ambao tayari wameanza kujitangaza kimataifa.
“Nina nyimbo na wasanii kama Vanessa Mdee, Diamond Platnumz, Christian Bella na Mzee Yusuph. Sifikirii hizi kama nitafanya hapa Tanzania, naweza kutoka, ” alisema Dully kupitia 255 ya XXL.
Dully...
9 years ago
Bongo513 Oct
Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania