Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wa Tz wanapoenda kushoot video na directors wa nje hainiathiri ila inanijengea njia nzuri — Hanscana

Mtayarishaji wa video anayefanya vizuri na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema kuwa wasanii wa Tanzania wanapoenda kushoot video na watayarishaji wa nje haimuathiri bali inamtengenezea mazingira mazuri zaidi katika kazi zake. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Hanscana ameandika ujumbe huu mrefu; “Baadhi ya wasanii wa Tz kwenda kushoot video na directors […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BASATA YAWATAKA WASANII WAFUATE TARATIBU WANAPOENDA NJE YA NCHI

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa nchini linawakumbusha wasanii wote nchini kuhakikisha wanafuata sheria, kanuni na taratibu zilizopo wanapokwenda nje ya nchi kufanya maonesho au kushiriki shughuli yoyote ya Sanaa ili kuepuka matatizo na mikanganyiko mbalimbali inayoweza kujitokeza.

Kwa mujibu wa taratibu zilizopo, msanii yeyote anapokwenda nje ya nchi anapaswa kujaza fomu maalumu inayotolewa na BASATA na baadaye kupewa kibali bure (bila gharama ...

 

11 years ago

Bongo5

Ongezeko la wasanii kushoot video kutumia waongozaji wa nje; Tobo linalovuja kwenye muziki wa Bongo

Wiki za hivi karibuni kumekuwepo na mjadala mrefu kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na wimbi la wasanii wa Tanzania kwenda kushoot video zao Kenya au Afrika Kusini au wengine kuwaleta waongozaji wa Kenya hususan Ogopa Videos, Enos Olik au Kevin Bosco Jr. Waongozaji wa video, Nisher na Adam Juma Ukweli ni kwamba hilo sio jambo […]

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana: Nipe bajeti nzuri mimi nitakufanyia video yenye International standards

Director wa video za muziki nchini, Hanscana amesema kuwa endapo wasanii watampa bajeti nzuri anauwezo wa kuwafanyia video nzuri na zenye viwango vya kimataifa. Hanscana ametumia mfano wa video ya Belle 9 ‘Shauri Zao’ iliyoanza kuoneshwa Trace Tv jana, ambayo ameiongoza yeye na kushoot hapa hapa Tanzania. Kupitia Instagram Hanscana ameandika; “Imeshutiwa hapa hapa tz […]

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana adai ‘Moyoni’ ya Navy Kenzo ni video iliyomfungulia njia

Hanscana na campos-5

Muongozaji wa video, Hanscana, ameitaja Moyoni ya Navy Kenzo kuwa ni video iliyomfungulia njia.

Hanscana na campos-5

Hanscana ameandika kwenye Instagram:

Is 1year of Moyoni video by NAVYKENZO Ilitoka 28 NOV 2014 Kuanzia hapo ndio maana nipo hapa. Video ilifanyika kwa changamoto nyiiiingi sana na kubwa zaidi Clip zote tulizoshoot 1st day zilipotea dah. Ilikuwa ni changamoto kubwa sana ut tukarudia kushoot tena na ikawa super zaidi hata ya iliyopotea. Nili edit 1st cut then nikawaonesha Aika na Nahreel....

 

10 years ago

Bongo5

Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video

Fareed Kubanda a.k.a Fid Q amesema anatarajia kwenda nje ya nchi kushoot video yake mpya. Rapper huyo wa Rock City amesema amedhamiria kuanza kufanya video nzuri baada ya kukaa muda mrefu bila video nzuri au wakati mwingine kutofanya kabisa licha ya kutoa hits nyingi. “Nimedhamiria kufanya video nzuri, kwahiyo kiukweli nashindwa kusema itakuwa ni aina […]

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

9 years ago

Bongo5

Video ya wasanii wa Ghana iliyoshutiwa Zanzibar na director Justin Campos akisaidiwa na Hanscana na Khalfani

Muongozaji wa video Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films ya Afrika Kusini alikuja Zanzibar mwezi June mwaka huu kufanya video ya kundi la muziki kutoka Ghana liitwalo Konfi. Justin Campos, Hanscana na Khalfani Campos alikuwa na wenyeji wake ambao ni ma-director wa Tanzania, mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 Hanscana na Khalfani ambao ndio […]

 

9 years ago

Bongo5

Dully Sykes azitaja nyimbo alizopanga kushoot video nje

Dully

Dully Sykes anafikiria kuanza kufanya video nje ya nchi.

Dully

Mwimbaji huyo mkongwe wa Bongo Fleva ambaye hajawahi kushoot video yoyote nje ya nchi, amesema kwa sasa analifikiria suala hilo kwa nyimbo ambazo amewashirikisha wasanii wa hapa nyumbani wakiwemo ambao tayari wameanza kujitangaza kimataifa.

“Nina nyimbo na wasanii kama Vanessa Mdee, Diamond Platnumz, Christian Bella na Mzee Yusuph. Sifikirii hizi kama nitafanya hapa Tanzania, naweza kutoka, ” alisema Dully kupitia 255 ya XXL.

Dully...

 

9 years ago

Bongo5

Director Hanscana asema video ya ‘Siri’ ya Vanessa ndio inayomletea wateja kutoka nje ya Tanzania

Director wa video za muziki, Hanscana amekiri kuwa video ya Vanessa Mdee ‘Siri’, ndio iliyomfungulia soko la wasanii wa nje kuja kufanya naye video hapa Tanzania. Hanscana ambaye wiki chache zilizopita ameshoot video mpya ya Avril na Ay jijini Dar es salaam, ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa ameshafanya video za wasanii wapatao sita kutoka nje […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani