Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dully Sykes azitaja nyimbo alizopanga kushoot video nje

Dully

Dully Sykes anafikiria kuanza kufanya video nje ya nchi.

Dully

Mwimbaji huyo mkongwe wa Bongo Fleva ambaye hajawahi kushoot video yoyote nje ya nchi, amesema kwa sasa analifikiria suala hilo kwa nyimbo ambazo amewashirikisha wasanii wa hapa nyumbani wakiwemo ambao tayari wameanza kujitangaza kimataifa.

“Nina nyimbo na wasanii kama Vanessa Mdee, Diamond Platnumz, Christian Bella na Mzee Yusuph. Sifikirii hizi kama nitafanya hapa Tanzania, naweza kutoka, ” alisema Dully kupitia 255 ya XXL.

Dully...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

11 years ago

Bongo5

New Video: Koba Ft Dully Sykes — Kizungumkuti

Msanii Koba a.k.a Mtu Pori kama anavyo jiita kutokea Morogoro hapa akiwa amemshirikisha Dully Sykes ngoma inaitwa “Kizungumkuti”

 

10 years ago

GPL

TANZIA: BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA

Mzee Sykes enzi za uhai wake. Dully akiwa na baba yake mzazi, Mzee Sykes enzi za uhai wake. Baba…

 

10 years ago

Vijimambo

BABA MZAZI WA DULLY SYKES, MZEE SYKES AFARIKI DUNIA

Dully akiwa na baba yake mzazi, Mzee Sykes enzi za uhai wake.

 

10 years ago

Bongo5

Baba yake na Dully Sykes, Ebby Sykes afariki dunia

Baba mzazi wa Dully Sykes, Mzee Ebby Sykes amefariki dunian akiwa na umri wa miaka 62. Angetimiza miaka 63 February 24. Mtoto wake wa kike aitwaye Raya Sykes amethibitisha taarifa hizo kwenye mtandao wa Instagram. “Mungu akulaze mahali pema peponi baba angu mm nilikupenda lakin mungu alikupenda zaid nasikitika nipo mbali sitaweza kukuzika!ulikua ni mtu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani