Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hanscana: Nipe bajeti nzuri mimi nitakufanyia video yenye International standards

Director wa video za muziki nchini, Hanscana amesema kuwa endapo wasanii watampa bajeti nzuri anauwezo wa kuwafanyia video nzuri na zenye viwango vya kimataifa. Hanscana ametumia mfano wa video ya Belle 9 ‘Shauri Zao’ iliyoanza kuoneshwa Trace Tv jana, ambayo ameiongoza yeye na kushoot hapa hapa Tanzania. Kupitia Instagram Hanscana ameandika; “Imeshutiwa hapa hapa tz […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Wasanii wa Tz wanapoenda kushoot video na directors wa nje hainiathiri ila inanijengea njia nzuri — Hanscana

Mtayarishaji wa video anayefanya vizuri na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema kuwa wasanii wa Tanzania wanapoenda kushoot video na watayarishaji wa nje haimuathiri bali inamtengenezea mazingira mazuri zaidi katika kazi zake. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii Hanscana ameandika ujumbe huu mrefu; “Baadhi ya wasanii wa Tz kwenda kushoot video na directors […]

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA ATOA VIDEO YENYE MANENO YENYE UTATA, ANGALIA VIDEO HAPA


Gwajima Akiwa kwenye Kitu cha Wagonjwa Anaonekana Kwenye Video Akitoa Maneno yenye utata kumsema mtu kwa Mafumbo ..embu angalia hapa chini kwenye Video:

 

9 years ago

Michuzi

INTRODUCTION OF DIPLOMA IN INTERNATIONAL PUBLIC SESCTOR ACCOUNTING STANDARDS FROM 1ST FEBRUARY 2016.

PUBLIC NOTICE
(NBAA)THE NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORSTANZANIAINTRODUCTION OF DIPLOMA IN INTERNATIONAL PUBLIC SESCTOR ACCOUNTING STANDARDS FROM 1ST FEBRUARY 2016.
Introduction 
Due to growing demand in public sector entities to prepare and present high quality transparent financial statements, the National Board of Accountants and Auditors has introduced Diploma in International Public Sector Accounting Standards to be known as “Diploma in IPSAs” which will start on 1st of February,...

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kutathmini kama bajeti ni nzuri au la !

MIAKA hamsini baada ya Tanganyika kuungana na Zanzibar na kuunda Tanzania; miaka 53 toka Tanganyika iwe huru;  miaka 51 tangu Zanzibar kupata uhuru wa bendera;  na miaka zaidi ya 100 toka reli ya kati kujengwa na Mjerumani ninatamani kuona bajeti ya JMT inayotupa bajeti ambayo matumizi ya maendeleo ni kubwa kuliko bajeti ya matumizi.

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Avril aachia video mpya aliyoshoot Tanzania na director Hanscana ‘No Stress’

avril

Muimbaji Avril kutoka Kenya alikuja Tanzania mwezi September kwa lengo la kufanya media tour, na kuungana na Ben Pol kuzindua wimbo mpya ‘Ningefanyeje’ waliofanya pamoja. Kingine alikuja kushoot video ya wimbo wake mpya ‘No Stress’ aliomshirikisha AY.

avril

Jumamosi iliyopita Avril alizindua video hiyo jijini Nairobi ambapo ilioneshwa kwa mara ya kwanza kabla ya kuwekwa kwenye mtandao wa Youtube. Director wa video hiyo Hanscana ambaye ni mshindi wa Tuzo Za Watu 2015 pamoja na AY walisafiri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAJETI YA FEDHA TASLIMU: Makadirio yenye nakisi

BAJETI ya Tanzania imesomwa rasmi kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Kusomwa kwake ni ishara kwamba mwaka wa fedha wa bajeti 2014/2015 utaanza rasmi tarehe mosi Julai, 2014. Suala la muhimu...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Man DH — Nipe Mie

Video Mpya ya msanii Man DH wimbo unaitwa “Nipe Mie”. Video imeongozwa na kampuni ya Miarmy Entertainment. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Video: Babbi – Nipe Penzi

060be309-8cc8-490b-b53e-17e92dd528f1

Video ya msanii wa Bongo Flava aishiye Marekani, Babbi. Inaitwa Nipe Penzi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani