Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ya kutathmini kama bajeti ni nzuri au la !

MIAKA hamsini baada ya Tanganyika kuungana na Zanzibar na kuunda Tanzania; miaka 53 toka Tanganyika iwe huru;  miaka 51 tangu Zanzibar kupata uhuru wa bendera;  na miaka zaidi ya 100 toka reli ya kati kujengwa na Mjerumani ninatamani kuona bajeti ya JMT inayotupa bajeti ambayo matumizi ya maendeleo ni kubwa kuliko bajeti ya matumizi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hanscana: Nipe bajeti nzuri mimi nitakufanyia video yenye International standards

Director wa video za muziki nchini, Hanscana amesema kuwa endapo wasanii watampa bajeti nzuri anauwezo wa kuwafanyia video nzuri na zenye viwango vya kimataifa. Hanscana ametumia mfano wa video ya Belle 9 ‘Shauri Zao’ iliyoanza kuoneshwa Trace Tv jana, ambayo ameiongoza yeye na kushoot hapa hapa Tanzania. Kupitia Instagram Hanscana ameandika; “Imeshutiwa hapa hapa tz […]

 

10 years ago

Mwananchi

Nchi nzuri kama hii tuwape matapeli - 1?

Tanzania ni nchi nzuri sana, nchi iliyowakuza babu zetu na kizazi kilichopita, nchi iliyowalea wazee wetu na watu muhimu kwetu, nchi iliyowaleta mama zetu na kufanikisha malezi yetu katika amani ya kudumu, nchi hii ni nzuri sana na haiwezi kukabidhiwa kwa watu wenye nia ovu.

 

10 years ago

Vijimambo

SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA

Upande wa Kushoto unavyoonekanaUpande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC


Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD 

TRANSIMISSION: AUTOMATIC.

GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Kwa ndani inaonyoonekana

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: MNUNUZI WA NYUMBA/KIWANJA HII NI NAMNA YA KITAALAM YA KUJUA ENEO UNALONUNUA KAMA LINA MGOGORO AU HAPANA


Na   Bashir   Yakub
Makala zilizopita  nilieleza   mambo au taarifa muhimu  zinazopaswa kuwa kwenye  mkataba wako  unapokuwa unanunua  nyumba/kiwanja. Nikasema  katika niliyosema  kuwa mkataba  lazima uoneshe  ukitokea mgogoro  utatatuliwa vipi,  ueleze kuwa  utapotokea mgogoro  muuzaji  lazima  awajibike kuhakikisha anakupa ushirikiano  mnunuzi  ili kumaliza  mgogoro huo na kuwa muuzaji  kama ana  mke  basi  mke wake ni lazima  aandaiiwe  nyaraka iitwayo  ridhaa ya mwanandoa ambayo  ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Faida za kutathmini biashara

WAFANYABIASHARA  wengi hawana utamaduni wa kupima hali ya biashara zao, wamekuwa wakifanya biashara kimazoea. Jambo hilo huwagharimu na hata wakati mwingine biashara inashindwa kustahimili na kuanguka kabisa. Biashara inapaswa kuchekiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali kutathmini mfumo wa usajili

Serikali imekusudia kufanya tathmini ya mfumo wa usajili wa matukio mbalimbali muhimu ya maisha na ukusanyaji wa takwimu nchini, ili kuchukua na kuhifadhi taarifa za kina zinazohusu vizazi, vifo, ndoa na talaka.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge watakiwa kutathmini VAT

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka wabunge wake, kuhakikisha wanafanya tathmini na kupitia upya Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) na kuweka viwango vya tozo hiyo, kulingana na huduma inayotolewa kupunguza malalamiko ya wananchi.

 

10 years ago

Habarileo

Kamati Kuu Chadema kutathmini uchaguzi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kuitisha kikao cha Kamati Kuu Maalumu ili kujadili matokeo ya uchaguzi wa mitaa na hatua watakazochukua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tunduma watakiwa kutathmini nyumba zao

DIWANI wa Tunduma, Frank Mwakajoka, amewataka wakazi wa kata hiyo ambao nyumba zao zipo kandokando mwa barabara kuu ya Tunduma -Sumbawanga kuzifanyia tathmini kama zipo ndani ya hifadhi ya barabara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani