SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA
![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s72-c/IMG-20141121-WA0001.jpg)
Upande wa Kushoto unavyoonekana
Upande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC
Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD
TRANSIMISSION: AUTOMATIC.
GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Kwa ndani inaonyoonekana
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Toyota Brevis inauzwa Bei nzuri kabisa
![](http://3.bp.blogspot.com/-1lpRx-TCnQA/Vjh6fzABUSI/AAAAAAAAitQ/85LGT_dh1oI/s640/b1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G0mmiPT58N4/Vjh6f1p8J6I/AAAAAAAAitI/mv6ZPWi3seI/s640/b2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-71vbXOx5l-k/Vjh6gzrUd9I/AAAAAAAAitc/ImKwIzZbty4/s640/b3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v5UGqzSyuiY/Vjh6hNgRxqI/AAAAAAAAitk/f3e72SMm8Nw/s640/b4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6JsHS28Sr4/Vjh6hfDHsLI/AAAAAAAAito/cmDDKuZGewA/s640/b5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bo1h5XkvgDM/Vjh6hqv0mVI/AAAAAAAAits/gdbH4noZbYM/s640/b6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-pR3e61jc0/Vjh6ib_hEXI/AAAAAAAAit8/nVek5fMCSaA/s640/b7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2lYbH-YSUMk/Vjh6ilAnevI/AAAAAAAAiuI/QiQu11dAeew/s640/b8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0M4KCqtZF4o/Vjh6ioYGRgI/AAAAAAAAiuE/RkueAz2krGw/s640/b9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZwRNzsnUrDU/Vjh6gObBV-I/AAAAAAAAitM/XHd9C1wuOXg/s640/b10.jpg)
Toyota Brevis Inauzwa
Ipo Kwenye hali Nzuri sana.
Maker: Toyota
Model: Brevis
YoM: 2001
CC: 2500
Color: Silver
Registration: Yes
Reg #: T 740 CUG
Bei: Milioni 10
Ipo kwenye Hali Nzuri kabisa na Imeshalipiwa kila kitu
Kwa mawasiliano piga namba hii 0688 94 94 54
9 years ago
MillardAyo16 Dec
China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video)
Kumekuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya hali mbaya ya hewa iliyokumba nchi ya China ikafikia hatua mpaka baadhi ya viwanda vikalazimika kufungwa kwa muda. December 14 2015 nilikusogezea ripoti ya mgahawa mmoja China kuwatoza wateja wote kama Yuan 1 ambazo ni kama Tshs. 333 hivi kwa ajili ya kupata hewa safi ndani ya mgahawa huo, […]
The post China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo23 Sep
CUF yaahidi bei nzuri ya mwani
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewahakikishia wakulima wa mwani bei nzuri ya zao hilo iwapo wananchi watakipa ridhaa ya kuingia madarakani katika Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
JB Atanzaga Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote
Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.
“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
JB Atangaza Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote
Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.
“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
News:Mto pepo hali sio nzuri
Nikiwa live katika redio chuchufm, wananchi wakilalamika kwa matendo ya sheha baada ya kumaliza kupiga kura kuwepo nje ya kituo, wakati huo huo kazi yake kuonesha vidole kwa jeshi la Polisi kuwakamata vijana na kuchukuliwa, hali […]
The post News:Mto pepo hali sio nzuri appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kpD37olj0H1015YwRDjQlErhGkwatZjzeEyprl1GiG1ouY7bpx4S00Lvn-dPwb3QBnzP*NXA7qqaJzbVmUNNguyCt1TtVPcR/nsa22.jpg)
HALI YA MSHAMBULIAJI WA ZAMANI WA YANGA NSA JOB SI NZURI
10 years ago
CloudsFM14 Aug
HALI YA AFANDE SELE SI NZURI BAADA YA KUFIWA NA MAMA WA WATOTO WAKE
Msanii wa Bongo Fleva,Afande Sele hali yake imekuwa mbaya baada ya kufiwa na mzazi mwenziye Asha Mohamed’Mama Tunda’.
Msanii huyo inawezekana akawa ni moja kati ya watu maarufu hapa nchini ambao wanaongoza kwa kuwataja wenza wao sehemu tofauti tofauti ambapo zaidi ya miaka 10 amesikika akimtaja wa ubavu wake, mara kwa mara hiyo ni wakati wakiwa wanaishi pamoja na mama tunda ambaye ni mzazi mwenzake waliyezaa nae watoto wawili, wa kwanza ni Tunda pamoja na Asante Sanaa. Mama Tunda amefariki...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
UN Tanzania yazindua ripoti ya Teknolojia na Ubunifu 2015, nchi za Afrika hali si nzuri
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez (katikati) akiongozana na Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula (suti nyeusi) mara baada ya kuwasili wakielekea kwenye ukumbi wa mikutano wa Mozambique uliopo katika Chuo cha Diplomasia jijini Dar es Salaam.
Naibu Mkurugenzi wa Utawala, Mipango na Fedha wa Chu cha Diplomasia, Bw. Bernard Achiula akitoa neno la...