CUF yaahidi bei nzuri ya mwani
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewahakikishia wakulima wa mwani bei nzuri ya zao hilo iwapo wananchi watakipa ridhaa ya kuingia madarakani katika Uchaguzi Mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s72-c/IMG-20141121-WA0001.jpg)
SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA
![](http://3.bp.blogspot.com/--sa7qiyXdFY/VHQ5kInyNvI/AAAAAAAAdCk/fgiHUEdpxz4/s1600/IMG-20141121-WA0001.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rxEqY6guoQQ/VHQ58aLhP_I/AAAAAAAAdDc/fEs1kFQdNws/s1600/IMG-20141121-WA0011.jpg)
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC
Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD
TRANSIMISSION: AUTOMATIC.
GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200
![](http://3.bp.blogspot.com/-FuRjgbElCCg/VHQ5_YruKuI/AAAAAAAAdDk/VSs2l0FKOsc/s1600/IMG-20141121-WA0036.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BTPDXbFgXhg/VHQ5f3llbcI/AAAAAAAAdCU/oodO7dRPRBU/s1600/IMG-20141121-WA0000.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dsDINqHH0uI/VHQ5oGlwc2I/AAAAAAAAdCs/katqD9kMlX4/s1600/IMG-20141121-WA0003.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yKoBHS7WeV0/VHQ5iVtHILI/AAAAAAAAdCc/FvhdrDbdv2E/s1600/IMG-20141121-WA0002.jpg)
Kwa ndani inaonyoonekana
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mtyd0nqkCag/VHQ5r-M4nII/AAAAAAAAdC0/FrK7MC4AYnY/s1600/IMG-20141121-WA0004.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I-4X8OKr2ME/VHQ5tfRAOLI/AAAAAAAAdC8/eDXJ0jL-f3c/s1600/IMG-20141121-WA0005.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f7mMmsXOHDI/VHQ5xGCg8OI/AAAAAAAAdDE/XQifpT_vrtI/s1600/IMG-20141121-WA0006.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Li1AMeKIPk/VHQ54iajq9I/AAAAAAAAdDQ/mQDde2lWlUY/s1600/IMG-20141121-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SvPpgTNnrS8/VHQ54VErRHI/AAAAAAAAdDM/-14q7YZhtrg/s1600/IMG-20141121-WA0010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LjdUzi0DRNY/VHQ6E5-jxyI/AAAAAAAAdDs/bfns_Wi_x-s/s1600/IMG-20141122-WA0004.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
9 years ago
Habarileo25 Aug
CUF yaahidi kufanya kampeni za kistaarabu
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kwamba kitahakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu na kuweka wazi sera zake bila ya kukaribisha malumbano ambayo yatasababisha kujenga mazingira ya chuki na uhasama.
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Toyota Brevis inauzwa Bei nzuri kabisa
![](http://3.bp.blogspot.com/-1lpRx-TCnQA/Vjh6fzABUSI/AAAAAAAAitQ/85LGT_dh1oI/s640/b1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G0mmiPT58N4/Vjh6f1p8J6I/AAAAAAAAitI/mv6ZPWi3seI/s640/b2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-71vbXOx5l-k/Vjh6gzrUd9I/AAAAAAAAitc/ImKwIzZbty4/s640/b3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-v5UGqzSyuiY/Vjh6hNgRxqI/AAAAAAAAitk/f3e72SMm8Nw/s640/b4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6JsHS28Sr4/Vjh6hfDHsLI/AAAAAAAAito/cmDDKuZGewA/s640/b5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bo1h5XkvgDM/Vjh6hqv0mVI/AAAAAAAAits/gdbH4noZbYM/s640/b6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-pR3e61jc0/Vjh6ib_hEXI/AAAAAAAAit8/nVek5fMCSaA/s640/b7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2lYbH-YSUMk/Vjh6ilAnevI/AAAAAAAAiuI/QiQu11dAeew/s640/b8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0M4KCqtZF4o/Vjh6ioYGRgI/AAAAAAAAiuE/RkueAz2krGw/s640/b9.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZwRNzsnUrDU/Vjh6gObBV-I/AAAAAAAAitM/XHd9C1wuOXg/s640/b10.jpg)
Toyota Brevis Inauzwa
Ipo Kwenye hali Nzuri sana.
Maker: Toyota
Model: Brevis
YoM: 2001
CC: 2500
Color: Silver
Registration: Yes
Reg #: T 740 CUG
Bei: Milioni 10
Ipo kwenye Hali Nzuri kabisa na Imeshalipiwa kila kitu
Kwa mawasiliano piga namba hii 0688 94 94 54
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
JB Atangaza Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote
Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.
“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
JB Atanzaga Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote
Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.
“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...
5 years ago
MichuziRC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI
11 years ago
Habarileo09 Apr
FAO yawapiga jeki wakulima wa mwani
SHIRIKA la Chakula na Kilimo (FAO) limeweka mikakati kuhakikisha wakulima wa zao la mwani wanapiga hatua kubwa na kuongeza mapato na kuondokana na umasikini wa kipato.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Sera mbovu zinavyoangusha zao la mwani Zanzibar