Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF yaahidi bei nzuri ya mwani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewahakikishia wakulima wa mwani bei nzuri ya zao hilo iwapo wananchi watakipa ridhaa ya kuingia madarakani katika Uchaguzi Mkuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SUZUKI ESCUDO INAUZWA BEI NZURI...IPO KWENYE HALI NZURI KABISA

Upande wa Kushoto unavyoonekanaUpande wa Kulia UnavyoonekanaTAARIFA KUHUSU GARI HII NI..........REGISTRATION NUMBER: T 746 AAT
MAKE: SUZUKI
MODEL: ESCUDO
MODEL NUMBER: TDIIW
BODY TYPE: STATION WAGON
COLOR: BLUE METALLIC


Year Of Manufacture:1995
ENGINE CAPACITY: 1998 cc
FUEL USED: PETROL
HALAFU NI 4WD 

TRANSIMISSION: AUTOMATIC.

GARI HII IPO KWENYE HALI NZURI KABISABEI NI MIL 6.5 Tsh.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA HII 0712 390 200kwa picha zaidi bofya soma zaidi
 Kwa ndani inaonyoonekana

 

9 years ago

Vijimambo

Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais



Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.

Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...

 

9 years ago

Habarileo

CUF yaahidi kufanya kampeni za kistaarabu

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kwamba kitahakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu na kuweka wazi sera zake bila ya kukaribisha malumbano ambayo yatasababisha kujenga mazingira ya chuki na uhasama.

 

9 years ago

Dewji Blog

Toyota Brevis inauzwa Bei nzuri kabisa

Toyota Brevis Inauzwa

Ipo Kwenye hali Nzuri sana.

Maker: Toyota

Model: Brevis

YoM:  2001

CC: 2500

Color: Silver

Registration: Yes

Reg #:  T 740 CUG

Bei: Milioni 10

Ipo kwenye Hali Nzuri kabisa na Imeshalipiwa kila kitu

Kwa mawasiliano piga namba hii 0688 94 94 54

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Atangaza Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote

Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.

“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Atanzaga Kununua ‘Script’ Nzuri kwa Bei Yoyote

Staa wa Bongo Movies ambae ni mwigizaji na mwogozaji wa filamu,Jacob Stephen ‘JB’ amesema ukosefu wa wandishi wazuri wa script kuwa ni moja kati ya matatizo yanayoikambili tasnia ya filamu hapa Bongo, akitolea mfano wa wewe kutafuta script kwa muda sasa bila mafanikio.

“Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo kwenye tasnia ya filam ni waandishi wa script, hatuna waandishi wa kutosha, jamani mbona wasomi wa fani hii wapo, nina miezi mitano natafuta script sijapata, ukiletewa ni vituko...

 

5 years ago

Michuzi

RC MALIMA ATAKA WAKULIMA WAUZE KAHAWA YAO KWA BEI NZURI AUNGA MKONO WANUNUZI BINAFSI

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)

Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza jambo wakati akizungumza Kwenye kikao kazi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa Prof Jamali Adam ofisini kwake Mjini Musoma leo tarehe 2 Juni 2020.Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe Adam Malima akisisitiza...

 

11 years ago

Habarileo

FAO yawapiga jeki wakulima wa mwani

SHIRIKA la Chakula na Kilimo (FAO) limeweka mikakati kuhakikisha wakulima wa zao la mwani wanapiga hatua kubwa na kuongeza mapato na kuondokana na umasikini wa kipato.

 

11 years ago

Mwananchi

Sera mbovu zinavyoangusha zao la mwani Zanzibar

>Wakati wakulima wa zao la mwani wakiungana na wazalishaji wengine Zanzibar kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kilimo cha zao hilo kimeendelea kuzorota kufuatia wakulima kupoteza matumaini ya soko la uhakika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani