Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CUF yaahidi kufanya kampeni za kistaarabu

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kwamba kitahakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu na kuweka wazi sera zake bila ya kukaribisha malumbano ambayo yatasababisha kujenga mazingira ya chuki na uhasama.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Polisi Mwanza yahimiza wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu

 

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limetoa angalizo kwa wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na kujiepusha na vitendo vitakavyoashiria uvunjifu wa amani ambavyo vinaweza kuwatia hofu wananchi.

Hali hiyo inaweza kusababisha wananchi kushindwa kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga kura.

 

Onyo hilo limetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza  Naibu Kamishna wa Polisi Charles Mkumbo katika kampeni ya jeshi la Polisi yenye lengo la kuhamasisha amani mkoani Mwanza.

Pia Kamanda Mkumbo...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Kampeni ziwe za kistaarabu

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufanya kampeni za kistaarabu, kwakuwa nchi ya Tanzania inayo sifa ya kuendesha mambo yake kwa njia ya amani na utulivu.

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu

Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.

 

9 years ago

Habarileo

CUF yaahidi bei nzuri ya mwani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimewahakikishia wakulima wa mwani bei nzuri ya zao hilo iwapo wananchi watakipa ridhaa ya kuingia madarakani katika Uchaguzi Mkuu.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

NHC yaahidi kufanya makubwa zaidi


NA MOHAMMED ISSA
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limedhamiria kuyabadilisha maeneo ya jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini baada ya kuzindua ujenzi wa miji midogo.
Limesema miradi hiyo itakapokamilika itabadilisha mandhari ya maeneo mbalimbali nchini na kuyafanya kuwa ya kisasa.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu, alisema hayo jana jijini Dar es Salaam, kwenye jukwaa la uwekezaji  lililoshirikisha baadhi ya wakuu wa mikoa na wadau mbaliambali.
Mchechu alisema wataanza na ujenzi...

 

9 years ago

Mwananchi

AFP yazindua kampeni, yaahidi usawa katika ajira

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Wakulima (AFP), Said Soud Said amesema madhumuni ya kugombea nafasi hiyo ni kutaka kuondoa mfumo mbovu wa upatikanaji wa ajira visiwani hapa.

 

5 years ago

Michuzi

CWT YAAHIDI KUFANYA MAPINDUZI KATIKA SOKA HAPA NCHINI-ALAWI

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniCHAMA Cha Walimu Tanzania (CWT), kimeahidi kufanya mapinduzi katika soka, kwa kuwa na timu imara itayoshiriki Ligi za ndani na nje ya nchi.
Hatua hiyo inatokana na mikakati kabambe inayotarajia kuwekwa na Walimu kupitia uongozi wa Makao Mkuu, mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho unaotarajia kufanyika Mei 28 mwaka huu.
Hayo yalielezwa na Mwalimu Abubakari Alawi akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Kibaha,ambaye ni mgombea wa nafasi ya Mhazi...

 

9 years ago

Bongo5

Wakazi: Mil20 za kufanya kampeni si kitu ukilinganisha na sera nzuri zitakazonipa mil200’, adai hashangai wasanii kutumika kwenye kampeni (Video)

Kuna mgawanyiko mkubwa wa wasanii katika machaguo yao ya wapi waegemee kwenye kipindi hiki cha uchaguzi. Wasanii wengi wanaonekana kuchukuliwa na chama tawala zaidi kwenye mikutano yake ya kampeni lakini pia wapo kibao waliopo upande wa muungano wa vyama vya Ukawa. Kuna wengine ambao pamoja na kuombwa kushiriki kwenye kampeni hizo wamekataa kwa kile wanachoamini […]

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Kampeni wa CUF Micheweni

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akihutubia katika mkutano wa hadhara wa Chama hicho uliofanyika viwanja vya skuli ya Micheweni.Wafuasi na wapenzi wa CUF wakimsikiliza mgombea Urais wa Chama hicho Mhe. Maalim Seif Sharif katika viwanja vya skuli ya Micheweni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani