Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu
Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo05 Aug
JK: Kampeni ziwe za kistaarabu
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufanya kampeni za kistaarabu, kwakuwa nchi ya Tanzania inayo sifa ya kuendesha mambo yake kwa njia ya amani na utulivu.
9 years ago
MichuziVYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUTUMIA LUGHA ZA KISTAARABU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Habarileo25 Aug
CUF yaahidi kufanya kampeni za kistaarabu
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kwamba kitahakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu na kuweka wazi sera zake bila ya kukaribisha malumbano ambayo yatasababisha kujenga mazingira ya chuki na uhasama.
9 years ago
StarTV10 Sep
Polisi Mwanza yahimiza wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu
Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limetoa angalizo kwa wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na kujiepusha na vitendo vitakavyoashiria uvunjifu wa amani ambavyo vinaweza kuwatia hofu wananchi.
Hali hiyo inaweza kusababisha wananchi kushindwa kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga kura.
Onyo hilo limetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Naibu Kamishna wa Polisi Charles Mkumbo katika kampeni ya jeshi la Polisi yenye lengo la kuhamasisha amani mkoani Mwanza.
Pia Kamanda Mkumbo...
10 years ago
Mwananchi19 Jul
MAONI : Hongera vyama Z’bar kusaini maadili ya uchaguzi
9 years ago
Michuzi9 years ago
GPL9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Ratiba ya kampeni za mgombea Urais/Mgombea Mwenza kwa Vyama vya Siasa iliyorekebishwa tarehe 20/10/2015
RATIBA REVIEWED ON 20 10 2015.pdf