Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NEC: MAREKEBISHO YA RATIBA YA KAMPENI ZA WAGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

9 years ago

StarTV

NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.

Katika taarifa kwa njia ya video iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani amesema kuwa vyama vyote vilishiriki katika kuandaa ratiba hiyo na kuwa viliiridhia hivyo hawana budi kuhakikisha...

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni walizojiwekea

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.

 

9 years ago

Dewji Blog

NEC yakemea vikali ukiukwaji wa maadili unaofanywa na vyama vya siasa wakati wa kampeni za uchaguzi

Untitled

 

Maadili ya Uchaguzi awa Ajili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani  na Mwaka 2015

(chini ya Kifungu cha 124A cha Sheria ya Uchaguzi Na. 1 ya mwaka 1985 (sura ya 343)

Sisi Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa pamoja tumekubaliana kuwa na uchaguzi huru, wa haki, uwazi, na wa kuaminika. Na kwamba Amani, Ustawi wa Nchi, Usalama wa Raia, Uhuru wa Vyama vya Siasa na Utii wa Sheria, Kanuni na taratibu za uchaguzi ndio msingi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani