WAGOMBEA WA URAIS WA VYAMA MBALIMBALI VYA SIASA NCHINI WARUDISHA FOMU ZA UTEUZI WA NEC
![](http://img.youtube.com/vi/9E8SPfpYK50/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-6mLiDf2x4Cg/VidsLtiSnyI/AAAAAAAIBd4/Qhn2X_3-Rwg/s640/1.png)
9 years ago
Habarileo22 Aug
Waliochukua fomu za urais warudisha Nec
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vinane vya siasa nchini, wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, huku wagombea watatu wakipoteza sifa.
9 years ago
GPLLOWASSA, DUNI WARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oMxIw3Q39IU/VdXtd-L3usI/AAAAAAAC90I/ioBnpqQJtQQ/s72-c/D.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Viongozi wa vyama vya siasa, wagombea na washabiki watahadharishwa Singida
Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi akisisitiza jambo wakati wa ufungaji wa mafunzo ya wiki moja kwa wanawake wanaojihusisha na kilimo cha mboga mboga wilayani Singida.
Mkuu wa wilaya ya Singida, Bwana Saidi Amanzi(aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya wiki moja kwa wakulima wa mboga mboga wilaya ya Singida vijijini waliohudhuria mafunzo hayo kwenye majengo ya Shirika la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO)Mkoani Singida.
Mmoja wa washiriki wa...
10 years ago
Mtanzania06 Feb
NEC yaagizwa ikutane na vyama vya siasa
Na Maregesi Paul, Dodoma
BUNGE limeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikutane na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kuangalia namna ya kufanikisha uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la wapiga Kura.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alipokuwa akijibu mwongozo wa Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
“Waheshimiwa wabunge kama mtakumbuka leo asubuhi (juzi asubuhi), mheshimiwa Mbatia aliomba mwongozo kuhusu uandikishaji wa Daftari la Kudumu la...
10 years ago
Habarileo14 Jul
NEC, vyama vya siasa waweka maadili
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefikia mwafaka na vyama vya siasa kuweka maadili ambayo yataviongoza vyama hivyo wakati wa kampeni hadi siku ya kupiga kura.
9 years ago
Habarileo02 Oct
NEC yavijia juu vyama vya siasa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa na wagombea wao, kuwa tayari kukubali matokeo ya uchaguzi, watakayoyatangaza kwa mujibu wa taratibu na sheria, kama walivyosaini katika Mwongozo wa Maadili.