NEC yaagizwa ikutane na vyama vya siasa
Na Maregesi Paul, Dodoma
BUNGE limeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikutane na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kuangalia namna ya kufanikisha uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la wapiga Kura.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alipokuwa akijibu mwongozo wa Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
“Waheshimiwa wabunge kama mtakumbuka leo asubuhi (juzi asubuhi), mheshimiwa Mbatia aliomba mwongozo kuhusu uandikishaji wa Daftari la Kudumu la...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Oct
NEC yavijia juu vyama vya siasa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa na wagombea wao, kuwa tayari kukubali matokeo ya uchaguzi, watakayoyatangaza kwa mujibu wa taratibu na sheria, kama walivyosaini katika Mwongozo wa Maadili.
10 years ago
Habarileo14 Jul
NEC, vyama vya siasa waweka maadili
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefikia mwafaka na vyama vya siasa kuweka maadili ambayo yataviongoza vyama hivyo wakati wa kampeni hadi siku ya kupiga kura.
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mbMo2RIkhrk/XnN-DtAnxMI/AAAAAAALkdY/0Vq_LBXoi70sQjqjAitQuaYrAUCi-9jrwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA-%2BOFISI%2BYA%2BMSAJILI%2BWA%2BVYAMA%2BVYA%2BSIASA.jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Oct
NEC yashusha rungu kwa vyama vya siasa
9 years ago
StarTV26 Aug
NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni
![Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2845730/medRes/1101903/-/maxw/600/-/128lqutz/-/kailima.jpg)
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2015, kuhakikisha vinafuata na kuheshimu ratiba ya uchaguzi waliyojiwekea.Katika taarifa kwa njia ya video iliyotumwa kwa vyombo vya habari, Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima Ramadhani amesema kuwa vyama vyote vilishiriki katika kuandaa ratiba hiyo na kuwa viliiridhia hivyo hawana budi kuhakikisha...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
NEC, vyama vya siasa vianze na haya kabla ya uchaguzi
9 years ago
Mwananchi25 Aug
NEC yaonya vyama vya siasa vitakavyokiuka ratiba za kampeni walizojiwekea
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l7uRaXZLgFM/XnjQYnkWe4I/AAAAAAALk2c/phSpignFE2YZoozkoggjwixG_UgMn595ACLcBGAsYHQ/s72-c/85129023-3176-4eaa-9741-f84c3aaa1647.jpg)
NEC yakutana na viongozi wa vyama vya Siasa kujadili suala la Uchaguzi mkuu 2020.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Katika kuelekea uchaguzi Mkuu 2020 wa Rais, Wabunge na madiwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili maandalizi ya uwekaji wazi wa Daftari la awali na kutoa taarifa ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.
Akifungua mkutano huo uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa nchini Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...