NEC, vyama vya siasa vianze na haya kabla ya uchaguzi
Vuguvugu la kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba limeshika kasi hivi sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-l7uRaXZLgFM/XnjQYnkWe4I/AAAAAAALk2c/phSpignFE2YZoozkoggjwixG_UgMn595ACLcBGAsYHQ/s72-c/85129023-3176-4eaa-9741-f84c3aaa1647.jpg)
NEC yakutana na viongozi wa vyama vya Siasa kujadili suala la Uchaguzi mkuu 2020.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Katika kuelekea uchaguzi Mkuu 2020 wa Rais, Wabunge na madiwani Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili maandalizi ya uwekaji wazi wa Daftari la awali na kutoa taarifa ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili.
Akifungua mkutano huo uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa nchini Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage amesema katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...
9 years ago
Dewji Blog08 Sep
NEC yakemea vikali ukiukwaji wa maadili unaofanywa na vyama vya siasa wakati wa kampeni za uchaguzi
Maadili ya Uchaguzi awa Ajili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani na Mwaka 2015
(chini ya Kifungu cha 124A cha Sheria ya Uchaguzi Na. 1 ya mwaka 1985 (sura ya 343)
Sisi Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa pamoja tumekubaliana kuwa na uchaguzi huru, wa haki, uwazi, na wa kuaminika. Na kwamba Amani, Ustawi wa Nchi, Usalama wa Raia, Uhuru wa Vyama vya Siasa na Utii wa Sheria, Kanuni na taratibu za uchaguzi ndio msingi wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s72-c/1-26-2048x1365.jpg)
NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJADILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-leNsOApSo34/Xs6ATZt58OI/AAAAAAALrwY/UdM8rUE55fQ3exquGR-b0nvCcEERGT0pACLcBGAsYHQ/s400/1-26-2048x1365.jpg)
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2B-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-uN3EeOyrRU0/Xs9ZVB-XBLI/AAAAAAAC6M0/_RBCpugBK3swDVlocFRuhsAdqX8AYaAdwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
NEC YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUJALILI NA KUPITISHA KANUNI NA MAADILI KWA UCHAGUZI MKUU 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-uN3EeOyrRU0/Xs9ZVB-XBLI/AAAAAAAC6M0/_RBCpugBK3swDVlocFRuhsAdqX8AYaAdwCLcBGAsYHQ/s1600/1.jpg)
Hayo yamesemwa jana Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Mhe.Jaji Semistocles Kaijage katika kikao na vyama vya Siasa na Wadau wengine wa Uchaguzi kujadili na kupitisha Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya Mwaka 2020.
Akizungumza katika kikao hicho Jaji...
10 years ago
Mtanzania06 Feb
NEC yaagizwa ikutane na vyama vya siasa
Na Maregesi Paul, Dodoma
BUNGE limeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ikutane na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kuangalia namna ya kufanikisha uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la wapiga Kura.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni juzi na Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alipokuwa akijibu mwongozo wa Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia.
“Waheshimiwa wabunge kama mtakumbuka leo asubuhi (juzi asubuhi), mheshimiwa Mbatia aliomba mwongozo kuhusu uandikishaji wa Daftari la Kudumu la...
10 years ago
Habarileo14 Jul
NEC, vyama vya siasa waweka maadili
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imefikia mwafaka na vyama vya siasa kuweka maadili ambayo yataviongoza vyama hivyo wakati wa kampeni hadi siku ya kupiga kura.
9 years ago
Habarileo02 Oct
NEC yavijia juu vyama vya siasa
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imevitaka vyama vya siasa na wagombea wao, kuwa tayari kukubali matokeo ya uchaguzi, watakayoyatangaza kwa mujibu wa taratibu na sheria, kama walivyosaini katika Mwongozo wa Maadili.