LOWASSA, DUNI WARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva akimkabidhi, Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, nyaraka mbalimbali zitakazotumika wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu, kwenye Ofisi za Tume hiyo, Jijini Dar es salaam leo Agosti 21, 2015. Kushoto ni Mgombea Mweza wake, Dkt. Juma Haji Duni.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Aug
Waliochukua fomu za urais warudisha Nec
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vinane vya siasa nchini, wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, huku wagombea watatu wakipoteza sifa.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9E8SPfpYK50/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JqVx40AQmF8KgKXi2ZE4vSO1RUoB-s9R3CUyloRLrKFQJNCu-m3xg-MDssKTQ5GICpZAgJ0qVOp5ilWOZvtca*4/lowassa.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
10 years ago
Habarileo11 Aug
Lowassa aipagawisha Dar, achukua fomu ya urais NEC
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani vinavyounda umoja unaofahamika kwa jina la Ukawa, Edward Lowassa jana alichukua fomu za kuwania rasmi nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vboQU-MO6BM/default.jpg)
Lowassa achukua fomu za Urais Nec, maelfu wamsindikiza
EDWARD Lowassa, mgombea urais wa Chadema amesema, Rais Jakaya Kikwete ameharibu uchumi wa Tanzania.Akizungumza na wafuasi wa Chadema pia UKAWA katika ofisi za Chadema mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho jana mchana, Lowassa alisema;“Rafiki yangu Jakaya Kikwete ameuharibu uchumi wa nchi yetu,”“Wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani kilo ya sukari ilikuwa Sh. 600 leo ni Sh. 2,300. Mchele ulikuwa Sh. 550 leo ni Sh. 2,300. Sembe ilikuwa Sh. 250 leo ni Sh. 1,200.”Aidha...
10 years ago
Habarileo24 Jun
6 tu warudisha fomu za urais CCM
WIKI moja kabla ya kwisha kwa muda warudisha fomu kwa makada wa CCM waliojitokeza kuwania kupitishwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania, ni wanachama sita tu kati ya 39 ndio waliorudisha fomu mpaka sasa.
10 years ago
GPL11 Aug
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s72-c/IMG-20150810-WA0000.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWARD LOWASSA KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s640/IMG-20150810-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aLdBUdKNN28/VchsFwv3mtI/AAAAAAAHvn4/ctEV65OX4ms/s640/IMG-20150810-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khdJO3NGAYE/VchsGoRVQjI/AAAAAAAHvoM/a-5giYSU37Q/s640/IMG-20150810-WA0006.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s72-c/IMG-20150810-WA0000.jpg)
WANANCHI WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA EDWALD LOWASSA (CHADEMA) KWENDA NEC KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-UAStLEYDRDM/VchsF1UI8gI/AAAAAAAHvn0/NBAgc3P9QkA/s640/IMG-20150810-WA0000.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aLdBUdKNN28/VchsFwv3mtI/AAAAAAAHvn4/ctEV65OX4ms/s640/IMG-20150810-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-khdJO3NGAYE/VchsGoRVQjI/AAAAAAAHvoM/a-5giYSU37Q/s640/IMG-20150810-WA0006.jpg)