Lowassa achukua fomu za Urais Nec, maelfu wamsindikiza
![](http://img.youtube.com/vi/vboQU-MO6BM/default.jpg)
EDWARD Lowassa, mgombea urais wa Chadema amesema, Rais Jakaya Kikwete ameharibu uchumi wa Tanzania.Akizungumza na wafuasi wa Chadema pia UKAWA katika ofisi za Chadema mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania urais kupitia chama hicho jana mchana, Lowassa alisema;“Rafiki yangu Jakaya Kikwete ameuharibu uchumi wa nchi yetu,”“Wakati Rais Mkapa anaondoka madarakani kilo ya sukari ilikuwa Sh. 600 leo ni Sh. 2,300. Mchele ulikuwa Sh. 550 leo ni Sh. 2,300. Sembe ilikuwa Sh. 250 leo ni Sh. 1,200.”Aidha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Aug
Lowassa aipagawisha Dar, achukua fomu ya urais NEC
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vingine vitatu vya upinzani vinavyounda umoja unaofahamika kwa jina la Ukawa, Edward Lowassa jana alichukua fomu za kuwania rasmi nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/LOWASA-1.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA URAIS CHADEMA
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lowassa achukua fomu ya kuwania urais kupitia Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ql4_IZVgXvI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s640/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-059c9__0dIg/VckRaTDYUUI/AAAAAAAAtts/ISPFUZQyb-k/s640/edo4.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s72-c/LOwassa_fomu2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWTWLyJu9OY/VXCFF71HeLI/AAAAAAABa5w/uN5vo9ct4Jk/s640/Lowassa_fomu.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JqVx40AQmF8KgKXi2ZE4vSO1RUoB-s9R3CUyloRLrKFQJNCu-m3xg-MDssKTQ5GICpZAgJ0qVOp5ilWOZvtca*4/lowassa.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
9 years ago
GPLLOWASSA, DUNI WARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC