LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s72-c/124.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s640/124.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SzMabWcsAjE/VcCx_glCXcI/AAAAAAAC9Sc/xRhZj5YQC0Y/s640/6.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Lowassa achukua fomu za kuwania urais
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Lowassa achukua fomu ya kuwania urais kupitia Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ql4_IZVgXvI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s72-c/LOwassa_fomu2.jpg)
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, LOWASSA, MAGUFULI W ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS
![](http://1.bp.blogspot.com/-2JH6ZWQDDqk/VXCFFv-jfmI/AAAAAAABa5s/zyMTsU5A18g/s640/LOwassa_fomu2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KWTWLyJu9OY/VXCFF71HeLI/AAAAAAABa5w/uN5vo9ct4Jk/s640/Lowassa_fomu.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s72-c/5.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI YA TAIFA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s640/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a1oLkYH1Uds/VcC1cYJXl_I/AAAAAAAAjLU/b5LGxHXFbpE/s640/7.jpg)
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa UPDP Mhe. Mwajuma Ali Khamis.Achukua Fomu Tume ya Uchaguzi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Nyalandu achukua fomu ya kuwania urais wa tanzania mjini dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s640/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-isFF2XKAnqI/VXR2MwdrHNI/AAAAAAAHcyw/JNDo5TABzGQ/s640/unnamed101.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5QVUjRbUzBw/VXR2OHKTT_I/AAAAAAAHcy4/EohR90Rihbg/s640/unnamed102.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sjZgeTx4AfQ/VXBt-VV0z8I/AAAAAAAHcFw/j_hMQw5kCW0/s72-c/01.jpg)
DKT. BILAL ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sjZgeTx4AfQ/VXBt-VV0z8I/AAAAAAAHcFw/j_hMQw5kCW0/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZaxxXrUysD4/VXBt-hRGeTI/AAAAAAAHcF0/lEj4juAJUvk/s640/1.jpg)