MAGUFULI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI YA TAIFA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cp8gHbcw1Bk/VcC1bVF77II/AAAAAAAAjLA/IUYdhXoncTk/s72-c/5.jpg)
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli akiwasalimu wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakati akianza safari ya kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Mwenza Mhe. Samia Suluhu Hassan wakiwasalimu wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakati wakianza safari ya kuelekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua fomu za kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa ...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s72-c/124.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s640/124.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SzMabWcsAjE/VcCx_glCXcI/AAAAAAAC9Sc/xRhZj5YQC0Y/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s640/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-059c9__0dIg/VckRaTDYUUI/AAAAAAAAtts/ISPFUZQyb-k/s640/edo4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s72-c/_MG_1875.jpg)
MGOMBEA MTEULE WA URAIS CCM,DKT MAGUFULI KUCHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s640/_MG_1875.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXZ9NythroE/Vb-Kppd0qAI/AAAAAAAC9PE/DwS9_JkTSg4/s640/_MG_1834.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMpKyx5W694/Vb-Kp11op6I/AAAAAAAC9PI/rPF0Jn0n5cE/s640/_MG_1854.jpg)
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
MGOMBEA...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa UPDP Mhe. Mwajuma Ali Khamis.Achukua Fomu Tume ya Uchaguzi.
10 years ago
Mwananchi04 Aug
Hashim Rungwe achukua fomu, Dk Magufuli leo
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uqC-4eRMdj0/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s72-c/MMGL0274.jpg)
MH. LOWASSA NA MGOMBEA MWENZA WARUDISHA FOMU TUME YA UCHAGUZI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-o64ufUSnPKo/Vdbs7gfBy5I/AAAAAAAAtzk/gQUCzWnWS7M/s640/MMGL0274.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_NHk13MbBfA/Vdbs6Ybc2-I/AAAAAAAAtzc/LMW213mY3uw/s640/MMGL0316.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s72-c/DSC_5634.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015: MCHUNGAJI MTIKILA WA DP, FAHMI DOVUTWA WA UPDP,MAXMILLIAN LYIMO WA TLP WACHUKUA FOMU ZA UTEUZI ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s640/DSC_5634.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GohRAeWI1Mw/Vbz_A9asL_I/AAAAAAAHtIE/XpMWjagnr3E/s640/DSC_7629.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s72-c/DSC_0102.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VIONGOZI WA SIASA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-EJ5QpBnXe5A/VNydOLrDqdI/AAAAAAAHDT8/n99ReY6KxJw/s1600/DSC_0102.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4_VimAVnaM0/VNydSNlDD-I/AAAAAAAHDUE/iGc03qaDEFY/s1600/DSC_0091.jpg)