Mgombea Urais wa UPDP Mhe. Mwajuma Ali Khamis.Achukua Fomu Tume ya Uchaguzi.
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha UPDP, Mhe Mwajuma Ali Khamis akiwasili katika viwanja vya ukumbi wa Salama Bwawani tayari kwa kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar kupita Chama chake, akiwasili katika Afisi za Tume ya Uchaguzi zilioko katika Ukumbi wa Salama Bwawani.
Mgombea Urais kupitia Chama cha United People Democratic Party(UPDP) Mwajuma Ali Khalis akifuatilia kwa makini maelezo yaliokuwa yakisomwac na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar wakati wa hafla ya kuchukua...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s72-c/DSC_5634.jpg)
MBIO ZA URAIS 2015: MCHUNGAJI MTIKILA WA DP, FAHMI DOVUTWA WA UPDP,MAXMILLIAN LYIMO WA TLP WACHUKUA FOMU ZA UTEUZI ZA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI NEC
![](http://3.bp.blogspot.com/-L0PnCHpewT0/Vbz_AxWlvMI/AAAAAAAHtIM/ENz3J-ggd6k/s640/DSC_5634.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GohRAeWI1Mw/Vbz_A9asL_I/AAAAAAAHtIE/XpMWjagnr3E/s640/DSC_7629.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s640/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-059c9__0dIg/VckRaTDYUUI/AAAAAAAAtts/ISPFUZQyb-k/s640/edo4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s72-c/124.jpg)
MAGUFULI ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI JIJINI DAR LEO,VIFIJO NA NDEREMO VYATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MYpFpAbrK-U/VcC_9uDs29I/AAAAAAAC9TE/8ud3J2l-TxY/s640/124.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla wakiwa wamepanda kwenye gari maalum.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SzMabWcsAjE/VcCx_glCXcI/AAAAAAAC9Sc/xRhZj5YQC0Y/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s72-c/_MG_1875.jpg)
MGOMBEA MTEULE WA URAIS CCM,DKT MAGUFULI KUCHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-04mPG3Bc7y8/Vb-Kg4aoPnI/AAAAAAAC9O8/4OlHgnSz_4A/s640/_MG_1875.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VXZ9NythroE/Vb-Kppd0qAI/AAAAAAAC9PE/DwS9_JkTSg4/s640/_MG_1834.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oMpKyx5W694/Vb-Kp11op6I/AAAAAAAC9PI/rPF0Jn0n5cE/s640/_MG_1854.jpg)
Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
MGOMBEA...
9 years ago
Habarileo20 Aug
Mwajuma ajitokeza kuwania Urais UPDP Zanzibar
MGOMBEA wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha UPDP, Mwajuma Ali Khamis amejitokeza katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi kuchukua fomu. Alikabidhiwa fomu na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Jecha Salum Jecha.
10 years ago
Habarileo09 Aug
Mgombea CCK achukua fomu za urais
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Kijamii (CCK), Dk Godfrey Malisa, jana amechukua fomu ya kuwania nafasi hiyo katika Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC), ambapo aliahidi kufanya kampeni za uhuru, amani na utulivu.
10 years ago
GPLMGOMBEA URAIS WA CHAUMMA ACHUKUA FOMU
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mgombea urais ADC achukua fomu
MGOMBEA wa urais kwa Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC), Chief Lutasola Yemba jana alichukua fomu ya uteuzi wa urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kuahidi kuleta mabadiliko nchini.