6 tu warudisha fomu za urais CCM
WIKI moja kabla ya kwisha kwa muda warudisha fomu kwa makada wa CCM waliojitokeza kuwania kupitishwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania, ni wanachama sita tu kati ya 39 ndio waliorudisha fomu mpaka sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Aug
Waliochukua fomu za urais warudisha Nec
WAGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka vyama vinane vya siasa nchini, wameteuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuwania nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu, huku wagombea watatu wakipoteza sifa.
10 years ago
GPLLOWASSA, DUNI WARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Vijimambo
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo


Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Habarileo27 Jun
Chadema warudisha fomu za kuwania ubunge Bunda
JUMLA ya wanachama 10 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ambao ni kati ya wanachama 13 waliokuwa wamechukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Bunda, kupitia tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, wamerudisha fomu.
10 years ago
Vijimambo
PICHA: MGOMBEA WA URAIS KWA TIKETI YA CCM DKT. JOHN MAGUFULI NA MGOMBEA MWENZA MH. SAMIA SULUHU WACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS









10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mwingine achukua fomu za urais CCM
10 years ago
Dewji Blog27 Jun
Chadema Moshi vijijini warudisha fomu za kuwania ubunge na udiwani





10 years ago
Vijimambo
MH. LOWASSA NA MGOMBEA MWENZA WARUDISHA FOMU TUME YA UCHAGUZI LEO


Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10