Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Jun
Migiro ajitosa urais, Sitta kurudisha fomu
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/O-q70EuDvck/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Apr
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Hatimaye Dk Migiro ajitosa kuwania urais
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0_dxyVLpYLk/XusPA4QQPWI/AAAAAAABMc8/fRQPASsntNQz9pvTJWFhsHlj0mqkNefNgCLcBGAsYHQ/s72-c/Mwinyi.jpg)
DK HUSSEIN MWINYI ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0_dxyVLpYLk/XusPA4QQPWI/AAAAAAABMc8/fRQPASsntNQz9pvTJWFhsHlj0mqkNefNgCLcBGAsYHQ/s400/Mwinyi.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s72-c/ccm.jpeg)
SHAMSHI VUAI NAHODHA ACHUKUA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Qeo6hVe99mk/XusafgXa0fI/AAAAAAABMdc/X-jmGTGHhS4AbrF3Az2Bd8vSYf7M2akgACLcBGAsYHQ/s400/ccm.jpeg)
10 years ago
VijimamboMH. SAMUEL SITTA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mheshimiwa Samuel Sitta leo hii alitangaza rasmi nia yake kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Alitangaza nia yake hiyo mbele ya mamia ya wakazi wa kata ya Itetemia, Tabora mjini na wilaya za jirani na mji wa Tabora.Akieleza sababu tano zilizomfanya atangaze nia yake ambazo ni
1.Muungano
Toka pande zetu mbili za muungano zinatolewa kauli na pia...
5 years ago
MichuziMAKADA WA CCM WALIOCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR LEO