Hatimaye Dk Migiro ajitosa kuwania urais
Hatimaye Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kugombea urais baada ya kutajwa kwa muda mrefu kuwa na mipango ya kuomba kuingia Ikulu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s72-c/migiro.png)
Dk Asha-Rose Migiro Ajitosa Kuwania Urais Kupitia CCM......Samuel Sitta Kurudisha Fomu ya Urais Leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-yhhd3_k0tSk/VX5rHFEVBLI/AAAAAAAAvww/Cn717LOxw2c/s640/migiro.png)
![](http://beacon.walmart.com/vm/ttap.gif?id=10694486&channel=WALMART&network=sraxopen_vhct&creative=SAL&destination=MICROSITE&size=728x90&idea=MOM&type=FLASH&device=DESKTOP)
Aidha, taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii, kuwa Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa atachukua fomu si za kweli kwa mujibu wa chanzo cha habari kutoka ndani ya CCM.Migiro, ambaye atachukua fomu kwenye makao makuu wa CCM mjini Dodoma saa tisa mchana, atakuwa mwanamke wa nne kuchukua fomu...
10 years ago
Habarileo15 Jun
Migiro ajitosa urais, Sitta kurudisha fomu
WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro leo anatarajia kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwania nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
Magige Nyerere naye ajitosa kuwania urais
NA KHADIJA MUSSA MTOTO mwingine wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Magige Nyerere, amejitokeza na kuonyesha nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Magige ni mtoto wa pili wa Mwalimu Nyerere kuonyesha nia ya kuwania uras baada ya hivi karibuni Makongoro Nyerere, kutajwa kuwa ni miongoni mwa watu wanaowania nafasi hiyo. Mke wa Baba wa Taifa, Maria Nyerere amebariki watoto hao kuwania nafasi hiyo na kusema ni raia halali wa Tanzania na...
10 years ago
GPLBALOZI MAHIGA AJITOSA MBIO KUWANIA URAIS WA TANZANIA
Balozi Dr. Augustine Mahiga (kushoto) akiwa na mkewe, Elizabeth Mahiga (katikati) na kada wa CCM Eng. Lucas B.Chogo. Wanahabari wakifuatilia tukio hilo. ALIYEKUWA Balozi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa, Dr. Augustine  Mahiga,   amesema anazo sifa zote za kumfanya kuwa rais bora wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aliyasema hayo hapo jana katika Idara ya Habari (Maelezo) alipokuwa...
5 years ago
CCM BlogMUSSA ABOUD JUMBE AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s72-c/ere.jpg)
Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani ajitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s640/ere.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e52mGqU-5hQ/XvB8ZDDQjhI/AAAAAAAEYHw/gDlBDgYKrwsy90CjUmUyegV1kXS1GnutACLcBGAsYHQ/s72-c/Mmanga%2BMjengo%2BMjawiri%2B%25286%2529.jpg)
WAZIRI WA KILIMO ZANZIBAR, MMANGA MJENGO MJAWIRI AJITOSA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-e52mGqU-5hQ/XvB8ZDDQjhI/AAAAAAAEYHw/gDlBDgYKrwsy90CjUmUyegV1kXS1GnutACLcBGAsYHQ/s400/Mmanga%2BMjengo%2BMjawiri%2B%25286%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_2wJ6VK6ABg/XvB8c3z9JEI/AAAAAAAEYH8/DuymbzSaW0YS1InYGov1MDVBIVqacSXegCLcBGAsYHQ/s400/Mmanga%2BMjengo%2BMjawiri%2B%25285%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboMAKENE AJITOSA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI
Makene...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania