Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Kampeni ziwe za kistaarabu

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufanya kampeni za kistaarabu, kwakuwa nchi ya Tanzania inayo sifa ya kuendesha mambo yake kwa njia ya amani na utulivu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu

Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.

 

10 years ago

Habarileo

CUF yaahidi kufanya kampeni za kistaarabu

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kwamba kitahakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu na kuweka wazi sera zake bila ya kukaribisha malumbano ambayo yatasababisha kujenga mazingira ya chuki na uhasama.

 

10 years ago

StarTV

Polisi Mwanza yahimiza wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu

 

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limetoa angalizo kwa wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na kujiepusha na vitendo vitakavyoashiria uvunjifu wa amani ambavyo vinaweza kuwatia hofu wananchi.

Hali hiyo inaweza kusababisha wananchi kushindwa kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga kura.

 

Onyo hilo limetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza  Naibu Kamishna wa Polisi Charles Mkumbo katika kampeni ya jeshi la Polisi yenye lengo la kuhamasisha amani mkoani Mwanza.

Pia Kamanda Mkumbo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Huduma za Tika ziwe na tija’

SERIKALI Mkoa wa Tabora imesema haitakuwa tayari kusikia wananchi wanalalamikia huduma mbovu za matibabu kwa kadi (TIKA) wakati wameshachangia fedha. Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa, alitoa angalizo hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwigulu: Sheria ya Ununuzi wa Umma wizi wa kistaarabu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametoboa madudu aliyoyaona kipindi kifupi alichokaa kwenye ofisi hiyo baada ya kuapisha hivi karibuni.

 

10 years ago

StarTV

Wagombea Songea waaswa kutumia kauli za kistaarabu

Wagombea wa Jimbo la Songea mkoani Ruvuma wametakiwa kuwa makini na kauli watakazozitoa katika kampeni za uchaguzi mkuu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Zacharia Nachoa amesema anategemea kuwa wagombea watatii na kufuata taratibu na kanuni kwa kujinadi kistaarabu bila kuleta chuki kama ilivyo historia ya Jimbo hilo.

 

Mkurugenzi wa Uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Zacharia Nachoa amesema , mpaka sasa vyama vilivyochukua fomu za Ubunge ni chama cha ACT Wazalendo na CCM, ambapo...

 

10 years ago

Habarileo

Vuta nikuvute ndani ya Bunge yamalizwa kistaarabu

BUNGE jana liliahirishwa kwa mara tatu mfululizo, kutokana na kutoafikiana juu ya mapendekezo yaliyotolewa dhidi ya wahusika wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa katika Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mwananchi

Kamati teule za bunge ziwe na wigo mpana

Kamati teule za Bunge, zimekuwa zikiundwa na wabunge wenyewe hali inayoelezwa kusababisha malalamiko ya kulindana na kukomoana yanayofanywa na wajumbe ambao ni wanasiasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mahakama ziwe mfano wa kuona haki inatendeka

VICHEKESHO, burdani na kile ambacho siku hizi kinajulikana kama usanii, ni mambo yanayokubalika katika mambo mengi ya maisha ya kila siku. Hali hii ipo hata katika kazi kwani kwa kiasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani