Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vuta nikuvute ndani ya Bunge yamalizwa kistaarabu

BUNGE jana liliahirishwa kwa mara tatu mfululizo, kutokana na kutoafikiana juu ya mapendekezo yaliyotolewa dhidi ya wahusika wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa katika Benki Kuu Tanzania (BoT).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge kwa muda, wabunge wapiga kelele

 

10 years ago

Vijimambo

Vuta nikuvute Bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge

Spika wa Bunge Anna Makinda amelazimika kuahirisha kikao cha Bunge kilichoanza jana, baada ya vuta nikuvute iliyotokea  baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .Akizungumza katika bunge hilo Mbatia amesema kuwa kitendo cha polisi cha kuwapiga raia wasiokuwa na hatia, kuwazalilisha waandishi wa habari na kupiga mabomu ya machozi kiasi cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Vuta nikuvute ya Burundi na historia yake

>Burundi nchi ndogo iliopo katika  Ukanda wa Afrika Mashariki, ilikaliwa na wakoloni wa Kibeligiji  na kujikuta ikipita kwenye jangwa la harubu na misukosuko mingi ikiwamo ya umwagaji wa damu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Vuta nikuvute kuhusu ‘selfie’ ya tumbili

Mpigapicha anayedai kumiliki ‘selfie’ ya tumbili kutoka Indonesia amesema atapinga jaribio la kumpokonya hakimiliki ya picha hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya ubakaji yamalizwa kinyemela

Familia mbili za Kitongoji cha Wamba, Kata ya Kandawale wilayani Kilwa zimekutana na kumaliza kinyemela kesi ya kubakwa mwanafunzi wa darasa la saba Shule ya Msingi Ngarambe na kumsababishia ujauzito.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Kampeni ziwe za kistaarabu

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufanya kampeni za kistaarabu, kwakuwa nchi ya Tanzania inayo sifa ya kuendesha mambo yake kwa njia ya amani na utulivu.

 

9 years ago

Habarileo

CUF yaahidi kufanya kampeni za kistaarabu

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kwamba kitahakikisha kinafanya kampeni za kistaarabu na kuweka wazi sera zake bila ya kukaribisha malumbano ambayo yatasababisha kujenga mazingira ya chuki na uhasama.

 

9 years ago

Mwananchi

Hongera vyama kwa kampeni za kistaarabu

Ni takriban siku 15 tagu kampeni zilipoanza rasmi kwa mujibu wa ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kwa bahati nzuri hakuna matatizo makubwa ambayo yametokea hadi sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani