Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vuta nikuvute ya Burundi na historia yake

>Burundi nchi ndogo iliopo katika  Ukanda wa Afrika Mashariki, ilikaliwa na wakoloni wa Kibeligiji  na kujikuta ikipita kwenye jangwa la harubu na misukosuko mingi ikiwamo ya umwagaji wa damu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vuta nikuvute kuhusu ‘selfie’ ya tumbili

Mpigapicha anayedai kumiliki ‘selfie’ ya tumbili kutoka Indonesia amesema atapinga jaribio la kumpokonya hakimiliki ya picha hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Vuta nikuvute ndani ya Bunge yamalizwa kistaarabu

BUNGE jana liliahirishwa kwa mara tatu mfululizo, kutokana na kutoafikiana juu ya mapendekezo yaliyotolewa dhidi ya wahusika wa sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa katika Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

10 years ago

Mwananchi

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge kwa muda, wabunge wapiga kelele

 

10 years ago

Vijimambo

Vuta nikuvute Bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge

Spika wa Bunge Anna Makinda amelazimika kuahirisha kikao cha Bunge kilichoanza jana, baada ya vuta nikuvute iliyotokea  baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .Akizungumza katika bunge hilo Mbatia amesema kuwa kitendo cha polisi cha kuwapiga raia wasiokuwa na hatia, kuwazalilisha waandishi wa habari na kupiga mabomu ya machozi kiasi cha...

 

10 years ago

Mwananchi

Mnara wa Azimio la Arusha ‘umepoteza’ historia yake

Ukifika katikati ya Jiji la Arusha, utakutana na mnara wa kumbukumbu ya mahali ambako Azimio la Arusha liliasisiwa na kuzaliwa mnamo mwaka 1967 chini ya Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.

 

10 years ago

GPL

UNAJIAMINI NINI KUMPENDA MTU AMBAYE HUJUI HISTORIA YAKE?

Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na rafiki yangu wa muda mrefu sana! Urafiki wetu ulianzia tangu tulipokuwa wadogo, tulicheza na kusoma pamoja hadi kumaliza elimu ya msingi ndipo tukapotezana. Aliniita nyumbani kwake kunitambulisha kwa mchumba wake ambaye walitarajia kufunga naye ndoa siku chache zijazo. Kwa bahati nzuri au mbaya, binti ambaye rafiki yangu huyo alitarajia kumuoa namfahamu vizuri sana. Unaweza kuwa unajiuliza...

 

10 years ago

Bongo5

2Face kutoa kitabu chake cha historia ‘A Very Good Bad Guy’ kwenye siku yake ya kuzaliwa

September 18, msanii nguli wa Nigeria, 2Face Idibia atatimiza umri wa miaka 40. Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, 2Face atafanya party ya nguvu iliyopewa jina ‘Fortyfied’ itakayojumuisha tamasha kubwa la muziki. Pia siku hiyo kitatoka kitabu cha historia yake kichopewa jina la ‘A Very Good Bad Guy: The Story Of Innocent 2Face Idibia.’ Kitabu […]

 

11 years ago

Bongo Movies

Mfahamu vizuri mwigizaji Jacob Steven (JB). Ametoka wapi na historia yake yote kwa ufupi mpaka sasa

Baada ya miaka 13 ya kuwapo katika fani ya sanaa ya maigizo, hakuna shaka kwamba, Steven Jacob maarufu kama JB, kwa sasa ni miongoni mwa watu wenye majina makubwa mno katika fani hiyo nchini. Ni miongoni mwa nyota `Watano’ Bora zaidi wa kiume kwa upande wa fani hiyo, hivyo kumfanya kuwa katika hadhi ya juu, sawa na nyota wengine kama akina Steven Kanumba na Vincent Kigosi `Ray’ na wengine.

Ndiyo maana haishangazi kuona kwamba, hata leo hii ukiingia katika soko la filamu zilizo juu, huwezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani