UNAJIAMINI NINI KUMPENDA MTU AMBAYE HUJUI HISTORIA YAKE?
![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTALdHvSNvSIm-Xn8s7UfRivp0DIWlOp-tFqgA6Id3oy4oRgvzFyBMtRkWNqQSwnqozzQIoI6TIqb31DdtgrHXI/Loves.jpg)
Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na rafiki yangu wa muda mrefu sana! Urafiki wetu ulianzia tangu tulipokuwa wadogo, tulicheza na kusoma pamoja hadi kumaliza elimu ya msingi ndipo tukapotezana. Aliniita nyumbani kwake kunitambulisha kwa mchumba wake ambaye walitarajia kufunga naye ndoa siku chache zijazo. Kwa bahati nzuri au mbaya, binti ambaye rafiki yangu huyo alitarajia kumuoa namfahamu vizuri sana. Unaweza kuwa unajiuliza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3XZTPjbLZuzzq34ezxHPtECc9Kqw-S79TqbjV8njx382q6kcURDC80LnfbBTYOlrndeue-3VJjAn6Mc7aIAiNP/Womancomputerupset1.jpg?width=650)
UNAJIAMINI NINI HADI UJINYIME KWA AJILI YA MAISHA YA BAADAYE?
9 years ago
Bongo Movies14 Aug
Shamsa Ford: Natamani Kuolewa na Mtu Ambaye Si Maarufu
Muigizaji wa filamu za Bongo, Shamsa Ford ameweka wazi hisia zake za kutaka kuingia kwenye ndoa.
Shamsa ambaye kwa miezi kadhaa iliyopita amekuwa akikanusha kuwa na uhusiano na Nay Wa Mitego licha ya kuwepo kwa dalili nyingi zinazoashiria kuwa ni wapenzi, amesema sasa umefika muda anatamani kuolewa.
Muigizaji huyo wa ‘Chausiku’ ambaye ni mama wa mtoto mmoja, ameongeza kuwa licha ya kutamani kuwa mke wa mtu lakini nafasi hiyo hawezi kumpa mtu maarufu, kwa lugha nyingine hawezi kuolewa na...
5 years ago
BBCSwahili27 May
George Floyd: Maafisa wanne weupe wafutwa kazi kufuatia kifo cha mtu mweusi ambaye hakujihami
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/C7ACkOvXFBM/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa?
Katika maisha kila mtu ana malengo na mipango yake, hata tukija katika ishu za kutafuta mchumba au kuoa kila mtu ana vigezo vyake, basi mimekutana na kigezo cha mmoja kati ya rapper wakali kutoka Nigeria ambaye jina lake la kuzaliwa ni Jude Abaga ila mtaani anafahamika kama Mr Incredible (MI). MI Abaga ambaye ni CEO wa […]
The post Huyu ndiye staa wa Nigeria ambaye akitaka kumuoa mwanamke mweupe ataomba picha yake ya utoto, kisa? appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u0Eb4l7A4EXhsbBtp-EwaaqbCMg-GvR4JTyRhCMogYvMaooDTlRF6PDBaMgaP2UPt8ejLnZbaZZYHvs2U7lMUct*Vl0nU6iV/Mabakiyenyeweyamjusi.jpg?width=650)
'MJUSI' WA TANZANIA AMBAYE MABAKI YAKE YALITOROSHEWA UJERUMANI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-snaiDT0TvIg/U58lBwmHqVI/AAAAAAAFrHc/DgbEGVO40Lg/s72-c/Vick+akikumbatiana+na+Kigwangala+(1).jpg)
Mhe. Vicky Kamata aibuka na wimbo mpya wa "Moyo wa mtu kichaka" baada ya mikasa yake ya kuugua ghafla kabla ya ndoa yake
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Kwa nini mtu achorwe Tatoo machoni?