Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini mtu achorwe Tatoo machoni?

Hii ndio kasumba ambayo imewavutia vijana wengi ulaya ingawa madaktari wanaonya kuweka wino ndani ya macho kunaweza kumfanya mtu kuwa kipofu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KWA NINI UNAUMIA JUU YA MTU ANAYE FURAHI?

MTU mmoja mwenye akili aliwahi kusema mapenzi ndiyo kila kitu katika dunia, kwamba mtu anayepata faraja zote kimapenzi ndiye anayeishi vizuri zaidi kuliko hata mamilionea tunaowaona. Na baadhi ya watu wanafikiri kuishi vizuri kimapenzi maana yake ni kuwa na uhusiano mzuri na mwenza au mke/mume wako nyumbani au yeyote katika uhusiano. Kuishi vizuri kimapenzi, ni pamoja na kuamua kuacha kupenda pia! Nimewahi kukutana mara nyingi...

 

11 years ago

Mwananchi

Je, umewahi kufikiria kwa nini mtu huweza kuamua kujiua?

Kuna msomaji wa makala zangu za Jitambue alinitafuta akikabiliwa na tatizo lisilo la kawaida. Ndugu yake alitaka kujiua, hivyo aliniomba nimshauri amweleze nini cha kufanya ili kumpatia nasaha aache wazo lake baya la kutaka kujitoa roho.

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?

NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha tena na nyinyi marafiki katika uwanja wetu wa elimu ya uhusiano. Hujakosea kusoma makala haya maana hapa ndipo tunapojifunza masuala mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya kila siku. Wiki iliyopita tulijifunza mada iliyokuwa inahusu nani anayestahili kuhongwa kati ya mwanaume na mwanamke. Bila shaka msomaji wangu ulipata elimu, kimsingi nilisema kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake, kutobweteka na...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2

HATUNA budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutukutanisha tena katika uwanja wetu maridhawa wa kupeana darasa la uhusiano. Siku zote ukikubali kupokea na kufanyia kazi yale tunayopeana kila Jumamosi kupitia safu hii. Leo ni siku ya wapendanao (valentine‘s day). Ni vyema basi ukaitumia siku hii kutafakari na umpendaye. Kumpa zawadi, kutafuta sehemu tulivu na kujadili uhusiano wenu.Ifanye siku hii kuwa mwanga mzuri wa penzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Aachishwa kazi kwa sababu ya 'Tatoo'

Niliulizwa kwa nini nilikuwa na michoro mingi au Tatoo kwa mwili wangu pamoja na kuhojiwa kwa nini nimejitoga sana usoni mwangu.

 

10 years ago

Vijimambo

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2


Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.

Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...

 

10 years ago

GPL

UNAJIAMINI NINI KUMPENDA MTU AMBAYE HUJUI HISTORIA YAKE?

Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na rafiki yangu wa muda mrefu sana! Urafiki wetu ulianzia tangu tulipokuwa wadogo, tulicheza na kusoma pamoja hadi kumaliza elimu ya msingi ndipo tukapotezana. Aliniita nyumbani kwake kunitambulisha kwa mchumba wake ambaye walitarajia kufunga naye ndoa siku chache zijazo. Kwa bahati nzuri au mbaya, binti ambaye rafiki yangu huyo alitarajia kumuoa namfahamu vizuri sana. Unaweza kuwa unajiuliza...

 

10 years ago

GPL

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2

Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza. Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo...

 

10 years ago

GPL

MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?

Ni Jumanne tena! Wapenzi wasomaji wa safu hii ya mapenzi na maisha, nawakaribisha leo kwa ajili ya mada nyingine ambayo ni motomoto kama ilivyo kawaida yangu. Baada ya wiki iliyopita kumalizana na mada ya kosea kuchagua kila kitu lakini siyo mwenza. Wiki hii tuna mada hii ya Mimi Mtu Wangu Mzungu. Nimekuwa nikiwasikia watu mbalimbali, wake kwa waume wakilitumia hili neno (Mzungu) japokuwa kwa upande wa wenzetu wanawake ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani