KWA NINI UNAUMIA JUU YA MTU ANAYE FURAHI?
![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSHRozqx1eedZjRRj7bkgxy22eOx8n0iuHOV7aPGqviboATrqcf7Mt-vVeFstv*eaqZsf4uG9GpketTdWOoDs-Tc/mahaba.jpg)
MTU mmoja mwenye akili aliwahi kusema mapenzi ndiyo kila kitu katika dunia, kwamba mtu anayepata faraja zote kimapenzi ndiye anayeishi vizuri zaidi kuliko hata mamilionea tunaowaona. Na baadhi ya watu wanafikiri kuishi vizuri kimapenzi maana yake ni kuwa na uhusiano mzuri na mwenza au mke/mume wako nyumbani au yeyote katika uhusiano. Kuishi vizuri kimapenzi, ni pamoja na kuamua kuacha kupenda pia! Nimewahi kukutana mara nyingi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Kwa nini mtu achorwe Tatoo machoni?
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Je, umewahi kufikiria kwa nini mtu huweza kuamua kujiua?
9 years ago
Mzalendo Zanzibar15 Sep
Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili?
Mohamed Said Bonyeza Audio
The post Lecture of Mohamed Said juu ya kwa nini Wzanzibar wanataka mamlaka kamili? appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Bongo Movies18 Jul
EXCLUSIVE!! Irene uwoya afunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu!
NYOTA wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya amefunguka juu ya tuhuma za kufanya fujo nyumbani kwa mume wa mtu zilizoripotiwa na mitandao mbalimbali ya habari nchini hivi karibuni.
Akizungumza exclusively nasi, Irene amesema kuwa haelewi hizo tuhuma zimetoka wapi na wala hajui aanzie wapi kuzijibu maana siyo yote yaliyoripotiwa ni kweli.
Tuhuma hizo zilidai kuwa, mwanadada huyo mrembo alienda kuleta timbwili nyumbani kwa mume wa mtu huyo baada ya kusikia kuwa jamaa huyoa ameamua kuoa na kumoiga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4wc48-rReGE76qrFHy5qUTEiGom15oc5ZZ9pFFg47HZk3-xqkgUZdNa5gVhpsKiY5F*IYhuXJkmXF0hEKj7u51/12.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El9ADcWbV0*s9hceHmhBQ3*xYquB-vEut1oYBy50QwzngRzjhALEQ*0IkLK3eVEZaL7Wl8a7tq8BsspzFwxMnDF5/f.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
![](http://api.ning.com/files/Z-JJSpQIZ6-DdIqG6stPddxLftfvovrSXvrUmlemlKwxmMLIXVlKVOI09Pla36hRBdm7VGfli*TvZac4cdmOUKUrpwp62Gx3/blackwomanwithwhitemanpf.jpg?width=650)
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTALdHvSNvSIm-Xn8s7UfRivp0DIWlOp-tFqgA6Id3oy4oRgvzFyBMtRkWNqQSwnqozzQIoI6TIqb31DdtgrHXI/Loves.jpg)
UNAJIAMINI NINI KUMPENDA MTU AMBAYE HUJUI HISTORIA YAKE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68jlE9nYbDLYnmX58Fm4v62vuplbVM0*eHkW-JKhL-AV39JDe-Zq2xSO26GlDyoWY7O3PgmD7XrvNnmLfWvttS*/lOVE.jpg?width=650)
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2