Je, umewahi kufikiria kwa nini mtu huweza kuamua kujiua?
Kuna msomaji wa makala zangu za Jitambue alinitafuta akikabiliwa na tatizo lisilo la kawaida. Ndugu yake alitaka kujiua, hivyo aliniomba nimshauri amweleze nini cha kufanya ili kumpatia nasaha aache wazo lake baya la kutaka kujitoa roho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/4xy8gY5pZyQ/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Kwa nini mtu achorwe Tatoo machoni?
Hii ndio kasumba ambayo imewavutia vijana wengi ulaya ingawa madaktari wanaonya kuweka wino ndani ya macho kunaweza kumfanya mtu kuwa kipofu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSHRozqx1eedZjRRj7bkgxy22eOx8n0iuHOV7aPGqviboATrqcf7Mt-vVeFstv*eaqZsf4uG9GpketTdWOoDs-Tc/mahaba.jpg)
KWA NINI UNAUMIA JUU YA MTU ANAYE FURAHI?
MTU mmoja mwenye akili aliwahi kusema mapenzi ndiyo kila kitu katika dunia, kwamba mtu anayepata faraja zote kimapenzi ndiye anayeishi vizuri zaidi kuliko hata mamilionea tunaowaona. Na baadhi ya watu wanafikiri kuishi vizuri kimapenzi maana yake ni kuwa na uhusiano mzuri na mwenza au mke/mume wako nyumbani au yeyote katika uhusiano. Kuishi vizuri kimapenzi, ni pamoja na kuamua kuacha kupenda pia! Nimewahi kukutana mara nyingi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4wc48-rReGE76qrFHy5qUTEiGom15oc5ZZ9pFFg47HZk3-xqkgUZdNa5gVhpsKiY5F*IYhuXJkmXF0hEKj7u51/12.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU?
NAMSHUKURU Mungu kunikutanisha tena na nyinyi marafiki katika uwanja wetu wa elimu ya uhusiano. Hujakosea kusoma makala haya maana hapa ndipo tunapojifunza masuala mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya kila siku. Wiki iliyopita tulijifunza mada iliyokuwa inahusu nani anayestahili kuhongwa kati ya mwanaume na mwanamke. Bila shaka msomaji wangu ulipata elimu, kimsingi nilisema kila mmoja anapaswa kumheshimu mwenzake, kutobweteka na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El9ADcWbV0*s9hceHmhBQ3*xYquB-vEut1oYBy50QwzngRzjhALEQ*0IkLK3eVEZaL7Wl8a7tq8BsspzFwxMnDF5/f.jpg?width=650)
KWA NINI MKE WA MTU ANAKUWA MKE WA WATU-2
HATUNA budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutukutanisha tena katika uwanja wetu maridhawa wa kupeana darasa la uhusiano. Siku zote ukikubali kupokea na kufanyia kazi yale tunayopeana kila Jumamosi kupitia safu hii. Leo ni siku ya wapendanao (valentine‘s day). Ni vyema basi ukaitumia siku hii kutafakari na umpendaye. Kumpa zawadi, kutafuta sehemu tulivu na kujadili uhusiano wenu.Ifanye siku hii kuwa mwanga mzuri wa penzi...
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
![](http://api.ning.com/files/Z-JJSpQIZ6-DdIqG6stPddxLftfvovrSXvrUmlemlKwxmMLIXVlKVOI09Pla36hRBdm7VGfli*TvZac4cdmOUKUrpwp62Gx3/blackwomanwithwhitemanpf.jpg?width=650)
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJI0y6HlVvTALdHvSNvSIm-Xn8s7UfRivp0DIWlOp-tFqgA6Id3oy4oRgvzFyBMtRkWNqQSwnqozzQIoI6TIqb31DdtgrHXI/Loves.jpg)
UNAJIAMINI NINI KUMPENDA MTU AMBAYE HUJUI HISTORIA YAKE?
Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na rafiki yangu wa muda mrefu sana! Urafiki wetu ulianzia tangu tulipokuwa wadogo, tulicheza na kusoma pamoja hadi kumaliza elimu ya msingi ndipo tukapotezana. Aliniita nyumbani kwake kunitambulisha kwa mchumba wake ambaye walitarajia kufunga naye ndoa siku chache zijazo. Kwa bahati nzuri au mbaya, binti ambaye rafiki yangu huyo alitarajia kumuoa namfahamu vizuri sana. Unaweza kuwa unajiuliza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68jlE9nYbDLYnmX58Fm4v62vuplbVM0*eHkW-JKhL-AV39JDe-Zq2xSO26GlDyoWY7O3PgmD7XrvNnmLfWvttS*/lOVE.jpg?width=650)
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza. Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykXYy8f9ERiT2eMQ56UF54fF4dV-u*hrKyyghLTQiyYbzsCFDNh6FPn*yXNg2n9CBO3JfU7GkfgkJ8g5hHnuqVnm/couples.jpg?width=650)
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?
Ni Jumanne tena! Wapenzi wasomaji wa safu hii ya mapenzi na maisha, nawakaribisha leo kwa ajili ya mada nyingine ambayo ni motomoto kama ilivyo kawaida yangu. Baada ya wiki iliyopita kumalizana na mada ya kosea kuchagua kila kitu lakini siyo mwenza. Wiki hii tuna mada hii ya Mimi Mtu Wangu Mzungu. Nimekuwa nikiwasikia watu mbalimbali, wake kwa waume wakilitumia hili neno (Mzungu) japokuwa kwa upande wa wenzetu wanawake ndiyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania